H: Baba amponda Diamond kwa kupost nyumba, asema kama ni mkweli aonyeshe hati

H: Baba amponda Diamond kwa kupost nyumba, asema kama ni mkweli aonyeshe hati

Eheee huyu yupo duu, huu upuuzi kwa mtoto wa kiume hutakiwi kuongea mbele za watu au labda anasingle mpya, anatafuta Kiki. Ila kama akili zake ndio hizi, kuwaonea wivu na chuki wanaume wenzake, namuonea huruma mke wake flora na watoto wake, mwanaume hutakiwi kuzungumza hivi.
 
H Baba kuna kipindi alimfatafata Diamond mara kamuibia nyimbo ya Number1, Mara tuzo ya mtumbuizaji bora alistahili yeye na sio Diamond, na blah blah kibao. Ila uzuri Diamond alimpuuza , hiyo ndio ilizidi kumuumiza huyu msukuma, naona sasa ameamua aibuke na hili, badala ya kuibuka na hit anaibuka na umbea, H Dada bwana
 
zile picha za ali kiba nyimba yake haipo vile kabisa uongo mwingine ni wa chuo kikuu, ila diamond amechekesha kwenye ile video eti "toliii toliiii linafunguka geti daah ngoja nifungue geti la ndani"
 
Diamond alimkosea nn huyu jamaa, sijawahi sikia kamsifia, aaaanha au ni ile ishu ya wimbo wa nataka kulewa alidai kaibiwa
 
😀😀😀😀😀 Wanataka hati sasa...Diamond achana na hawa mabwege huwezi kuwaridhisha wotee
 
Kumbe yupo? Nlishamsahau aje bwana amwage mauno nimeyakumbuka bababababaah kelele![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anatafuta mteja ki nguvu mond hazibui vyoo hali ngumu mjue afu mshikaj chakula ya wana
 
Huyu jamaa mjinga sana badala huo mda anaotumia kutokwa povu amusaidie mke wake kupost matangazo IG waingize mkwanja yeye anaulizia hati ya nyumba ya mwanaume mwenzie Daimond kashawambia hiyo kwanza ndio rasharasha mvua yenyewe inakuja!

-Nyerere-
Huyu h baba toka aoe zake amezaa watoto 5 kwa mdaa wa miaka 6
 
Wako watatu,kuna tanzanite,afrika huyu mwingine jina sijui ndo nani.
 
H baba amemponda Diamond kwa kupost nyumba kisa eti Ali Kiba katuma, amesema kama yeye ni mkweli ana nyumba aposti hati ya nyumba, sio mwenzake akipost nyumba naye anapost

Mipasho ya kipuuzi kweli hii kama yeye kapost picha ya nyumba yeye kinamuuma nini?
 
Back
Top Bottom