Hongera sana Munkari,nakutakia kila la heri,Mungu awe pamoja nawe!
thanks sungura1980 afu umepotea my brother !!
more than serious jerry!!
ha ha ha yerewiiii namfata !!!! We mchokozi wewe !!...he he he! Naingia klass kidogo nikitoka nikumbushe nikujibu.... Ha ha ha!!Mwalimu shikamoo...nitakuwa mratibu wako na watch man kuangalia tabia na mienendo yako kabla ya kupata post hiyo na baada...nataraji malalamiko ya kucheleweshewa salario na miundombinu duni ya kufundishia yatakuwa mengi toka kwako...by the way nikuulize swali la kizushi...vipi, uwepo wako mbele ya mujini hapa si ndo mwanzo wa kuanzisha koloni lingine na kumweka pending huyu bwana boss for good? Au yeye yupo nyuma ya mabadiliko haya uliyofanyiwa kuhamishiwa kituo bora?
Nawashukuru wote mlionipa pole ,moyo na ushauri jinsi ya kukabiliana na mazingira yale ila mmmh pamenishinda,huko ntarudi kulima tu loh! Arushaone thenks sana my dia kwa ushauri wako. Arovera nitafata ushauri wako kama ulivyonieleza, lusungo -am happy now my frend, sosoliso mwambie babu am safe now Mdau ubarikiwe kwa ushauri wako , Rogie nashukuru kwa pole loh tuonane june! Ha HUNIJUI Fidel80 dikembe kwamtoro Jerrymsigwa chopeko NGANU chonbinsky @horseshoe arch Manka m Dinazarde mwekundu dah na wengine mliokuwa nami mbarikiwe!...... wacha sasa nifanye kazi niache majungu! (Afu mjue vile vihela vyao bado sijavila mana nilikuwa na hasira ha ha ha kesho mjinii kununua dressing table loh mwalimu kujiremba!!!)... Kwaherini jamani!!
ha ha ha yerewiiii namfata !!!! We mchokozi wewe !!...he he he! Naingia klass kidogo nikitoka nikumbushe nikujibu.... Ha ha ha!!
furahi tu! Yap there there !!!
daah all the best my dear hadi mimi nimefurahi nimepata pa kufikia full digital lol