Ha ha ha mwalimu oyee..!!

Ha ha ha mwalimu oyee..!!

Mwalimu shikamoo...nitakuwa mratibu wako na watch man kuangalia tabia na mienendo yako kabla ya kupata post hiyo na baada...nataraji malalamiko ya kucheleweshewa salario na miundombinu duni ya kufundishia yatakuwa mengi toka kwako...by the way nikuulize swali la kizushi...vipi, uwepo wako mbele ya mujini hapa si ndo mwanzo wa kuanzisha koloni lingine na kumweka pending huyu bwana boss for good? Au yeye yupo nyuma ya mabadiliko haya uliyofanyiwa kuhamishiwa kituo bora?
 
Congs Munkari am happy for you. Sasa utafanya kazi kwa moyo mmoja maana akili imetulia na moyo umeridhika
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu shikamoo...nitakuwa mratibu wako na watch man kuangalia tabia na mienendo yako kabla ya kupata post hiyo na baada...nataraji malalamiko ya kucheleweshewa salario na miundombinu duni ya kufundishia yatakuwa mengi toka kwako...by the way nikuulize swali la kizushi...vipi, uwepo wako mbele ya mujini hapa si ndo mwanzo wa kuanzisha koloni lingine na kumweka pending huyu bwana boss for good? Au yeye yupo nyuma ya mabadiliko haya uliyofanyiwa kuhamishiwa kituo bora?
ha ha ha yerewiiii namfata !!!! We mchokozi wewe !!...he he he! Naingia klass kidogo nikitoka nikumbushe nikujibu.... Ha ha ha!!
 
daah all the best my dear hadi mimi nimefurahi nimepata pa kufikia full digital lol
 
Nawashukuru wote mlionipa pole ,moyo na ushauri jinsi ya kukabiliana na mazingira yale ila mmmh pamenishinda,huko ntarudi kulima tu loh! Arushaone thenks sana my dia kwa ushauri wako. Arovera nitafata ushauri wako kama ulivyonieleza, lusungo -am happy now my frend, sosoliso mwambie babu am safe now Mdau ubarikiwe kwa ushauri wako , Rogie nashukuru kwa pole loh tuonane june! Ha HUNIJUI Fidel80 dikembe kwamtoro Jerrymsigwa chopeko NGANU chonbinsky @horseshoe arch Manka m Dinazarde mwekundu dah na wengine mliokuwa nami mbarikiwe!...... wacha sasa nifanye kazi niache majungu! (Afu mjue vile vihela vyao bado sijavila mana nilikuwa na hasira ha ha ha kesho mjinii kununua dressing table loh mwalimu kujiremba!!!)... Kwaherini jamani!!

hongera sana. tunasubiri matunda sasa!!!!
 
ha ha ha yerewiiii namfata !!!! We mchokozi wewe !!...he he he! Naingia klass kidogo nikitoka nikumbushe nikujibu.... Ha ha ha!!

Wait! Wait....tujuze na mapokeo ya wanafunzi huku, i mean sura na figure yako imeweza kuongezea wanafunzi maarifa na "utafiti zaidi" ili kuweza kupata what we call general attachment kwenye academics? Kama ndio tupe mrejesho na kama sio ni wakat wa kupiga mapowder na mamakeups ili kuwaimpress students just incase! Lazima uwe mbunifu kufikia malengo ya BRN!
 
Back
Top Bottom