Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Utafiti unapingwa kwa utafiti, sasa unataka kupinga utafiti kwa maneno matupu?

Njoo na utafiti uwapinge SUA.

Kama unaona nyama hiyo ni tamu kwako kula mambo ya SUA yaache na usijitahidi kuwapinga watafiti kwa sababu wamesema yaliyopatikana katika utafiti.

Acha kua mswahili kupita kiasi

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya tegu
matokeo ya utafiti huu ni sawa na mtafiti kufanya utafiti wa kujua kama ndani ya binduki ya mlinzi kuna risa
 
[emoji241] [emoji241] [emoji241]
[emoji482] [emoji482] [emoji481]
[emoji39] [emoji39]
[emoji119]
 
Utafiti ni yeye mwenyewe anayekula kila siku na hajaugua.
 
Inawezekana Mh. Lisu alikuwa anakula sana kiti chair ndiyo maana hayupo sawa kisaikolojia.
 
Your Brain On Pork! Pork Parasites Are Number One Cause Of Epilepsy

BY AQIYL ANIYS | SEPTEMBER 10TH, 2014 | MODIFIED - DECEMBER 4TH, 2014

Eating pork and the tapeworms it contains is bad for the brain. Neurocysticercosis is the name of the disease where pork tapeworm larve called cysticerci invades the brain and damages the central nervous system. Neurocysticercosis is the number one cause of epilepsy in the world. This parasitic disease was more common is developing countries, but now this brain invasion has become a problem in the United States in the last thirty years.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…