Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-

View attachment 587398

View attachment 587399

View attachment 587400

View attachment 587401

View attachment 587402



Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-



Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.


SUA wanafanya makusudi sana.
Utafiti unapingwa kwa utafiti, sasa unataka kupinga utafiti kwa maneno matupu?

Njoo na utafiti uwapinge SUA.

Kama unaona nyama hiyo ni tamu kwako kula mambo ya SUA yaache na usijitahidi kuwapinga watafiti kwa sababu wamesema yaliyopatikana katika utafiti.

Acha kua mswahili kupita kiasi

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya tegu
matokeo ya utafiti huu ni sawa na mtafiti kufanya utafiti wa kujua kama ndani ya binduki ya mlinzi kuna risa
 
[emoji241] [emoji241] [emoji241]
[emoji482] [emoji482] [emoji481]
[emoji39] [emoji39]
[emoji119]
 
Waiter lete castle nyingine
705e194a0ff19858bef06c9ea750014b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utafiti unapingwa kwa utafiti, sasa unataka kupinga utafiti kwa maneno matupu?

Njoo na utafiti uwapinge SUA.

Kama unaona nyama hiyo ni tamu kwako kula mambo ya SUA yaache na usijitahidi kuwapinga watafiti kwa sababu wamesema yaliyopatikana katika utafiti.

Acha kua mswahili kupita kiasi

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Utafiti ni yeye mwenyewe anayekula kila siku na hajaugua.
 
Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-

View attachment 587398

View attachment 587399

View attachment 587400

View attachment 587401

View attachment 587402



Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-



Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.


SUA wanafanya makusudi sana.
Inawezekana Mh. Lisu alikuwa anakula sana kiti chair ndiyo maana hayupo sawa kisaikolojia.
 
Your Brain On Pork! Pork Parasites Are Number One Cause Of Epilepsy

BY AQIYL ANIYS | SEPTEMBER 10TH, 2014 | MODIFIED - DECEMBER 4TH, 2014

Eating pork and the tapeworms it contains is bad for the brain. Neurocysticercosis is the name of the disease where pork tapeworm larve called cysticerci invades the brain and damages the central nervous system. Neurocysticercosis is the number one cause of epilepsy in the world. This parasitic disease was more common is developing countries, but now this brain invasion has become a problem in the United States in the last thirty years.
 
Back
Top Bottom