Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Mbuzi katolikiiii.....
Kwanini siku zote mti wenye matunda ndo unapigwa mawe?
 
Reactions: Gut
Utafiti ndio umegundua hayo na ni wajibu wao Watafiti baada ya kugundua jambo kifuatacho ni kutoa taarifa na ndicho walichofanya. Sasa wewe kama unataka kuendelea kumchapa huyo swine basi kwa wakati wako usishawishi watu.
 

Uwe na uchumi mzuri na kila kitu kukidhi haja yako ya kuishi ukila vyakula vyenye athari utakufa mapema tu [emoji15] [emoji4]
 
Uwe na uchumi mzuri na kila kitu kukidhi haja yako ya kuishi ukila vyakula vyenye athari utakufa mapema tu [emoji15] [emoji4]
Jenga hoja yako kupitia mada iliyoko mezani.
Mada kuu ni nyama ya nguruwe.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Utafiti ndio umegundua hayo na ni wajibu wao Watafiti baada ya kugundua jambo kifuatacho ni kutoa taarifa na ndicho walichofanya. Sasa wewe kama unataka kuendelea kumchapa huyo swine basi kwa wakati wako usishawishi watu.
[emoji117] [emoji118] [emoji117] faida kiafya na kiuchumi [emoji106]
 
Jenga hoja yako kupitia mada iliyoko mezani.
Mada kuu ni nyama ya nguruwe.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
chaumbile Imulungu ni cha kumemena!; Kula kitu Roho inapoenda [emoji106]
 
Kwani uongo? Ingieni darasani kwanza alafu mje mezani mkabishane, unadhani kwann watalaam wa mifugo wengi wao hawalagi mishikaki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…