Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Watanzania ignorance sijui kama utakuja kuisha aseee daaa haya poleni wafiwa .....
 
Polepole huko anakenua Kwa furaha malengo Yao yametimia ' Magufuli anapendwa bwana nyomi ya hatari Hadi watu zaidi ya 40 wamekufa'.
 
So sad watoto wasiokuwa na hatia wamepoteza maisha kutokana na ujinga wa wazazi wao.
 
Nimeshangazwa sana na wazazi walio ruhusu vitoto vyao kwenda kuaga. Mzazi unashindwaje kutathmini hali ya usalama wa mtoto katika msongamano?
 
UMASIKINI

UJINGA

MARADHI

maadui wa Tanzania ..kutafuta sifa katika vitu vya kipumbavu pumbavu, hadi maiti mnataka mumridhishe na sasa you will have to pay the price by BLOOD

Mshana Jr hii imekaaje katika ulimwengu wa roho kua wakati wa msiba/mazishi kuna damu tena isyokua na hatia zinamwagika au kumwagwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko kwenu labda.
Ningekuwa karibu na wewe ningekuchapa bakora! Hivi mtaacha lini hii tabia ya kusifu na kuabudu?


Mbona baadhi ya media zimereport hili unahisi mtu anaweza leta habari asiyo na uhakika nayo?
 
UMASIKINI

UJINGA

MARADHI

maadui wa Tanzania ..kutafuta sifa katika vitu vya kipumbavu pumbavu, hadi maiti mnataka mumridhishe na sasa you will have to pay the price by BLOOD

Mshana Jr hii imekaaje katika ulimwengu wa roho kua wakati wa msiba/mazishi kuna damu tena isyokua na hatia zinamwagika au kumwagwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwenda hakikua cha halali.... Nahisi
 
Salaam Wakuu,

Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.

Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.

Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.

Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam.

TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P

Nyingine:

TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks.

View attachment 1731031
Lidia Shomari

Mashuhuda wengine wamesema;

"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"

"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"

"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.

Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."

"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?[emoji2377][emoji2305][emoji2305]"

"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"
View attachment 1731219
Embu ona Dada mzuri kama huyu anaonekana msomi kabisa , unaenda kufa kizembe sababu ya lile dubwasha na wanao wawili ? Ni mapenzi gani hayo unamuacha na mumeo ? Nimesikitika sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.

Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate

Kifo kilivyotangazwa death certificate iliambatanishwa ikiwa inasomeka kile kilichotangazwa kwamba ndio kilimuondoa?
Au unajitoa tu ufahamu...?
 
Sisi wasukuma mbona hivi Kanumba alisepa na watu Mh magufuli nae anaondoka na wasindikizaji dah ...watu wanatupenda sana kwa Mungu azilaze pema peponi kwa waliopoteza maisha kwa mapenzi Rais wetu [emoji120][emoji120]
Mapenzi ya kipumbavu, acha mawazo ya kisengeh hayo unayaita mapenzi? Serikal yako ndio imesababisha haya halafu wewe unaita mapenzi foolishness foolishly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa karibu na wewe ningekuchapa bakora! Hivi mtaacha lini hii tabia ya kusifu na kuabudu?


Mbona baadhi ya media zimereport hili unahisi mtu anaweza leta habari asiyo na uhakika nayo?
Angalia huyu nae hovyo. Unarukia tu hata huelewi majibu yangu kwa huyo ni kuhusu nini. Kamchape bakora mjomba na shangazi zako.
 
Wakati mwingine wanawake tuna matatizo ... mtoto wa miezi miwili unaenda nae wapi zaidi ya clinic?
Na baba mtoto anamuangalia tu, au mtoto hana baba ila dah ni upuuzi mtu Kama huyo unashindwa kumuonea huruma.
.
.
Hlf unafika pale kuaga unajidondosha chini ubebwe juu juu. Sijawahi waelewa wanaozimia msibani na ni msiba wa mtu ambae sio ndugu yako. Ukilia kwa ustaarabu utapungukiwa nini?

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Hao waliokuwa wanajidondosha ni wale wamama wamezoea kushinda makanisa ya kilokole, full kuzimia...kingine walikuwa wanatafuta camera
 
Back
Top Bottom