Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wazazi wanapaswa kulaumiwa sana kwa ishu kama hizi...jaman mtoto wa 10yrs unaendaje naye sehem za misiba au mnaendaje wote familia ya watu wa5 wote?mie nimeumia ila nisingeeda kuaga maana wanyonge wamejazana balaa..aku..polen familia
Inasikitisha sana sanaBaba usipokuwa dikteta.. wanawake wanaleta balaa..
Tazama mama kabeba watoto wake wote wadogo wadogo wakamuage magufuli .. mtoto anaenda msibani kufanya nini?
Simple minds have simple answers.Ukienda polisi utajibiwa simpo tu.
"Huyo ni mtu mzima, atakua ameenda kulala kwa wanaume"
Kwa hyo kwa wengine ilikua out au sioKwa hapa nawashauri wababa au wamama wenye familia kujenga mazoea ya kutoka out mara kwa mara badala ya kusubiria matukio makubwa uwanjani ili kuitoa familia out.
Sasa pale wengine walidhani wanaenda picnic,mtu anabeba mpaka mwanae wa miezi kadhaa kwenye msongamano ule jaman
Hawataki hiloZama za Siri zimeshapita sasa ni uwazi na ukweli
Kwa hapa nawashauri wababa au wamama wenye familia kujenga mazoea ya kutoka out mara kwa mara badala ya kusubiria matukio makubwa uwanjani ili kuitoa familia out.
Sasa pale wengine walidhani wanaenda picnic,mtu anabebliza mpaka mwanae wa miezi kadhaa kwenye msongamano ule jaman
Akina mama ndio wana hiyo tabia ya kubeba watoto na kuandamana nao kwenye matukioIla wazazi wanapaswa kulaumiwa sana kwa ishu kama hizi...jaman mtoto wa 10yrs unaendaje naye sehem za misiba au mnaendaje wote familia ya watu wa5 wote?mie nimeumia ila nisingeeda kuaga maana wanyonge wamejazana balaa..aku..polen familia
wameimaliza safari kwa kifo cha kuumiza sanaUmemaliza...dah...yote hayo ni umaskini...ptu..wameimalizA safari
Kwa hyo kwa wengine ilikua out au sio
Majibu ya hawa jamaa yananishangazaga sana.Ukienda polisi utajibiwa simpo tu.
"Huyo ni mtu mzima, atakua ameenda kulala kwa wanaume"
Ukikua utaachaAngalia huyu nae hovyo. Unarukia tu hata huelewi majibu yangu kwa huyo ni kuhusu nini. Kamchape bakora mjomba na shangazi zako.