KABHILABHIGHAMBO
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 223
- 112
kama unadanganya uma wa jf tutakuondoa mara moja. wewe umerudi kujiunga jf au ndo unanza? mbona unazidi hata wenneji wako?Ray van Boy my name
Huyu Bashite ana cheza na akili zenu mimi nime[emoji42]Multiple Id's i see mgeni gani unajua kuquote
AnazinguaHuyu Bashite ana cheza na akili zenu mimi nime[emoji42]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Akijibu kwa ufasaha najua mgeni ila akijibu kikuda najua mwenyeji na nimeweka mtego ngoja ajekama unadanganya uma wa jf tutakuondoa mara moja. wewe umerudi kujiunga jf au ndo unanza? mbona unazidi hata wenneji wako?
jibu maswili yafuatayo?
1. eleza elimu yako?
2. kwa nini unajiunga na jf?
3. je ukibanwa na kamanda Zero unaweza kumtaja yeyote unayemfaham humu jf?
Nasemaje kama jina lako halipo miongoni mwa hayo mawili mods nipo radhi mods wanipe hata life banMbona naambiwa sana kua mm ni Mondray. Ndio nani huyo na rayyoungr ndio nani
1. Nimeishia form twokama unadanganya uma wa jf tutakuondoa mara moja. wewe umerudi kujiunga jf au ndo unanza? mbona unazidi hata wenneji wako?
jibu maswili yafuatayo?
1. eleza elimu yako?
2. kwa nini unajiunga na jf?
3. je ukibanwa na kamanda Zero unaweza kumtaja yeyote unayemfaham humu jf?
Mgeni Mamba😀😀Mgeni kiboko
Nishamjibu mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Akijibu kwa ufasaha najua mgeni ila akijibu kikuda najua mwenyeji na nimeweka mtego ngoja aje
Daaah aisee haya bwana maana umedhamiria kunipa majina ya yasiyo nihusuNasemaje kama jina lako halipo miongoni mwa hayo mawili mods nipo radhi mods wanipe hata life ban
Umejuaje kuna vingi vya kujifunza kama siyo mwenyeji?1. Nimeishia form two
2. 7bu huku unapata vingi sana vya kujifunza
3.siwez taja mtu kwani sijaja kupeleleza mtu huku
Nilikua nafuatilia page za jf Facebook na twiter so nilikua sijui jinsi ya kujiungaUmejuaje kuna vingi vya kujifunza?
Nani kasema sinio?Sinio ndio wakina nani
Sasa nani kakufundisha kujiunga?Nilikua nafuatilia page za jf Facebook na twiter so nilikua sijui jinsi ya kujiunga
Nimeandika kama mm nilivyoisoma mkuu. Kwani kuna tatizoNani kasema sinio?
Umeniquote wakati mimi sijaandika hivo, na ku-quote nani kakufunza?Nimeandika kama mm nilivyoisoma mkuu. Kwani kuna tatizo
Katika fungua fungua Post ndio nikapata moja ikani direct mpaka jf. Nikafuata step zote hatimae nikakuta nimewezaSasa nani kakufundisha kujiunga?
Hahaa nimeona neno raplay nikafanya as i used facebook. Kumbe nyie mnaita kukotiUmeniquote wakati mimi sijaandika hivo, na ku-quote nani kakufunza?
Kwani kamba inaonekanaje mkuuMbona huna kamba mguuni?