Kwani ugeni ni shida mkuu.. aliyenifungulia kanielekeza kila kitu
Noo mimi ndio mara yangu ya kwanza, yaani kuweka picha nashindwa kabisa
Sasa nani kakufundisha kujiunga?
Katika fungua fungua Post ndio nikapata moja ikani direct mpaka jf. Nikafuata step zote hatimae nikakuta nimeweza
JinsiaNikaguliwe nini
Yaani kuja na kuja amesha kudondokea.
Hii ngumu kumeza aisee
HahahaaaaUmeona ee,mwenyej kabisa
Kidume cha mbeguJinsia
Kawaida yangu mm hua ni mchangamfu siku zote, hata kwenye magroup ya Wasap na Facebook hua wananfaham. Sijari kama ni mgeni au mm nachangia tu na kua peace na wanaHumu watu hufahamika kwa uandishi na michango yao.
Pia mgeni wa jf hawezi kuwa na spidi ya uchangiaji kama ufanyavyo.
Kwa hakika wewe sio mgeni bali umeanzisha id mpya.
Ndio maana kila uchangiapo members wanapata mashaka na wewe.
weka pichaMambooooooooo Joanah
Bahat mbaya sijapiga picha yoyote na situmii simu labda niweke webshot wallpaperweka picha
Mgeni anajua kutag....[emoji45] [emoji45]Karibu
Unachoandika usitetemeke kubadili sababu wengime wanakusakama hawapendi, jisimamie.
Ila hapana maneno machafu, watakuripoti utakula ban.
***Ray van Boy my name
Kijana Ray alikua anatumiwa aiseeeee....hili jina Ray lilikuepo sana hapa likapotea ghafla wakati wa tamko la mheshimiwa sa sijui umerudi kivingine au inakuaje
Ray mtoto wa watu.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh mgeni unajua mpaka maandishi ya rangi rangi.
Wewe ni Rayyoungr tushakujua
Kama hajatoa (mond) Ray..... Atakua ameongeza Ray (youngr)....Wewe kama sio Rayyoungr basi ww ni mondray kama sio hawa wote wawili naomba mods wanipe ban
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Nasemaje kama jina lako halipo miongoni mwa hayo mawili mods nipo radhi mods wanipe hata life ban
Nshakupata kwa uzuri kabisa ndugu mgeni mwenyeji.Mambooooooooo Joanah
Kamba ya mgeni ilisha katika na ikaoza kitambo.......Mbona huna kamba mguuni?