Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,109
Hatuiti "kukoti" tunaita ku-quoteHahaa nimeona neno raplay nikafanya as i used facebook. Kumbe nyie mnaita kukoti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuiti "kukoti" tunaita ku-quoteHahaa nimeona neno raplay nikafanya as i used facebook. Kumbe nyie mnaita kukoti
wewe ni mwenyejiNishamjibu mkuu
Kithibitisho ni kipi mkuuwewe ni mwenyeji
Kingereza ndio tatizo langu kuu nivumilie tuHatuiti "kukoti" tunaita ku-quote
Mkaguzi wa wageniAspirini ndio nani mkuu
Mimi namvumilia mke wangu tuKingereza ndio tatizo langu kuu nivumilie tu
Robot Mkuu ameni PM kasema email yako ya kwanza na hii mpya zinafanya kazi kwenye kifaa kimoja na unatumia Android kitkat na browser ni OP+ ukizingua na kuzidi danganya Uma unafungiwa ID's Zote [emoji106]Kithibitisho ni kipi mkuu
Ahsantee nadhani utakua rafiki yangu.
Will you?
Sawa nashukuru sana coco beach chanelMimi sina marafiki humu, tutakutana kwenye majukwaa.
hebu anza kujibu wewe kwanza maana we mwenyewe ni senior bado hujakuwa expert so wote wageni tukama unadanganya uma wa jf tutakuondoa mara moja. wewe umerudi kujiunga jf au ndo unanza? mbona unazidi hata wenneji wako?
jibu maswili yafuatayo?
1. eleza elimu yako?
2. kwa nini unajiunga na jf?
3. je ukibanwa na kamanda Zero unaweza kumtaja yeyote unayemfaham humu jf?
Kk sawaRobot Mkuu ameni PM kasema email yako ya kwanza na hii mpya zinafanya kazi kwenye kifaa kimoja na unatumia Android kitkat na browser ni OP+ ukizingua na kuzidi danganya Uma unafungiwa ID's Zote [emoji106]
Ahaaa sawaMkaguzi wa wageni
Sawa nashukuru sana coco beach chanel
Sorry sana napenda jokes tuWhy unabadili jina langu from cocochanel? Kweli unaweza kufananisha cocochanel na coco beach yako!? 😵
nilisha kufaham ngoja nisikutaje kwa kulinda jina lako maana wanakufaham wengi.........ila si mbaya kuwa na akount 2.hebu anza kujibu wewe kwanza maana we mwenyewe ni senior bado hujakuwa expert so wote wageni tu
jibu kwanza
Kwa hiyo wewe ni wa WCB?Sorry sana napenda jokes tu
na hiitena ni yako? kwa hiyo una zaid ya akanti 3? we noma maana hili swali nmempa mwenyeji anayedai ni mgeni cha ajabu unajbu wew mwenyeji!!!!!!!!!!!hebu anza kujibu wewe kwanza maana we mwenyewe ni senior bado hujakuwa expert so wote wageni tu
jibu kwanza