Habari members wenzangu, mimi mgeni hapa

Habari members wenzangu, mimi mgeni hapa

kama unadanganya uma wa jf tutakuondoa mara moja. wewe umerudi kujiunga jf au ndo unanza? mbona unazidi hata wenneji wako?

jibu maswili yafuatayo?
1. eleza elimu yako?
2. kwa nini unajiunga na jf?
3. je ukibanwa na kamanda Zero unaweza kumtaja yeyote unayemfaham humu jf?
hebu anza kujibu wewe kwanza maana we mwenyewe ni senior bado hujakuwa expert so wote wageni tu
jibu kwanza
 
Robot Mkuu ameni PM kasema email yako ya kwanza na hii mpya zinafanya kazi kwenye kifaa kimoja na unatumia Android kitkat na browser ni OP+ ukizingua na kuzidi danganya Uma unafungiwa ID's Zote [emoji106]
Kk sawa
 
hebu anza kujibu wewe kwanza maana we mwenyewe ni senior bado hujakuwa expert so wote wageni tu
jibu kwanza
nilisha kufaham ngoja nisikutaje kwa kulinda jina lako maana wanakufaham wengi.........ila si mbaya kuwa na akount 2.
 
hebu anza kujibu wewe kwanza maana we mwenyewe ni senior bado hujakuwa expert so wote wageni tu
jibu kwanza
na hiitena ni yako? kwa hiyo una zaid ya akanti 3? we noma maana hili swali nmempa mwenyeji anayedai ni mgeni cha ajabu unajbu wew mwenyeji!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom