The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
- Thread starter
- #61
Serikali haigawi Pesa wala chakula.Huduma zipi sasa kama hadi basic need kama Chakula,malazi,maji ni shida kwa karibu 3/4 ya Watanzania
Ukisema chakula Ni shida Sasa sijui wanazalisha hii ziada Ni kina Nan? 👇