Wote wamekaa wanasubiri Samsung na apple wanafanya nini nao waige.Mimi siku hizi sioni jipya kwenye simu naona kamaubunifu hakuna zaidi ya micamera camera hakuna major changes. Shapes za simu nazo zinafanana si atokee mmoja afanye major changes kama walivyofanya iphone ikabadiri mwelekeo wa simu kabisa
Ngoja tusubiri huenda labda mabadirio yakatoka kwenye kampuni nyingine.... Jana nimetazama untoldstory of the iPhone. Kumbe mwanzo kabisa Steve Jobs hakuwa ameridhia kuundwa kwa simu na kuna kipindi management mara mbili ilitakaproject ipigwe chiniWote wamekaa wanasubiri Samsung na apple wanafanya nini nao waige.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauzwaje mkuu hii simu na inapatikana duka gani?
Nitavuta hii.Nokia 5.3 itakuwa nzuri sana kwa soko letu ikiwa around 300k mpaka 350k hivi.
Hawa bado hawajaniimpress. Nokia 9 ilikuja kwa mbwembwe sana lkn ni takataka.Kama tulivoona ujio mpya wa Nokia na Android. Mnamo mwaka 2017 walianza na Android 7 Nougat ambapo walianza na Nokia 1. Nokia 2 , Nokia 3, Nokia 5, Nokia 6 Nokia 8 nk
Kisha zikatoka upgrade yake kidogo nikimaanisha
Kisha mwaka 2018 zilitoka kama Nokia 2.1, 3.1,5.1 , 6.1 ,7.1 , 8.1
Baadae mwaka huo huo wakaja na 5.1 plus 8.1 plus nk.
Kisha mwaka 2019 tukashuhudia series zingne kama kama Nokia 2.2, 4.2, 3.2, 6.2 7.2 Nokia 4.2
Kisha December mwaka jana tukaona muendelezo wa Nokia 2 ambayo ni Nokia 2.3 ambayo ni special kwa mwaka huu
Muendelezo wa Nokia 5, 6 and 8 ukachelewa sababu walichelewa hata hivo kutoa simu za mwaka jana
Sasa tarehe 19 mach Nokia 1.3 ,5.3 na Nokia 8.3 zikawa announced
Where Nokia 8.3 itakuja na display ya 6.81inch
Android 10 already
Snapdragon 765 ( 7nm )
Ram option kati ya 6 au 8
Rom 64 kwa 128GB
Quad camera
Utra wide 64mp
Wide. 12mp
Macro. 2mp
Depth. 2mp
Zeiss camera
Kwenye battery kama tulivoona nokia 2 na 2.1 na 3.2 kuja na battery kubwa kabisa kuliko zote la 4000mah basi kwenye 8.3 litakuepo la 4500mah lithium polymer
Nokia 8.3View attachment 1394537View attachment 1394538View attachment 1394541
Nokia 1.3View attachment 1394542
Nokia 7.2View attachment 1394543View attachment 1394537
Nokia 5.3View attachment 1394542View attachment 1394538View attachment 1394542
Sasa hivi tupo kwenye ulimwengu wa Indisplay fingerprint. Hiyo fingerprint huko nyuma sijui inatafuta nini. Bora hata ingekuwa side mounted.Kama tulivoona ujio mpya wa Nokia na Android. Mnamo mwaka 2017 walianza na Android 7 Nougat ambapo walianza na Nokia 1. Nokia 2 , Nokia 3, Nokia 5, Nokia 6 Nokia 8 nk
Kisha zikatoka upgrade yake kidogo nikimaanisha
Kisha mwaka 2018 zilitoka kama Nokia 2.1, 3.1,5.1 , 6.1 ,7.1 , 8.1
Baadae mwaka huo huo wakaja na 5.1 plus 8.1 plus nk.
Kisha mwaka 2019 tukashuhudia series zingne kama kama Nokia 2.2, 4.2, 3.2, 6.2 7.2 Nokia 4.2
Kisha December mwaka jana tukaona muendelezo wa Nokia 2 ambayo ni Nokia 2.3 ambayo ni special kwa mwaka huu
Muendelezo wa Nokia 5, 6 and 8 ukachelewa sababu walichelewa hata hivo kutoa simu za mwaka jana
Sasa tarehe 19 mach Nokia 1.3 ,5.3 na Nokia 8.3 zikawa announced
Where Nokia 8.3 itakuja na display ya 6.81inch
Android 10 already
Snapdragon 765 ( 7nm )
Ram option kati ya 6 au 8
Rom 64 kwa 128GB
Quad camera
Utra wide 64mp
Wide. 12mp
Macro. 2mp
Depth. 2mp
Zeiss camera
Kwenye battery kama tulivoona nokia 2 na 2.1 na 3.2 kuja na battery kubwa kabisa kuliko zote la 4000mah basi kwenye 8.3 litakuepo la 4500mah lithium polymer
Nokia 8.3View attachment 1394537View attachment 1394538View attachment 1394541
Nokia 1.3View attachment 1394542
Nokia 7.2View attachment 1394543View attachment 1394537
Nokia 5.3View attachment 1394542View attachment 1394538View attachment 1394542
Siyo kweli...Wote wamekaa wanasubiri Samsung na apple wanafanya nini nao waige.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nokia ana contract na zeiss hata kabla Android haijaanzishwa na wala Huawei hajatoa simu yoyote ya Android hivyo cheki facts zako vizuri.Hawa bado hawajaniimpress. Nokia 9 ilikuja kwa mbwembwe sana lkn ni takataka.
Baada ya kuona huawei kaingia contract na leica na wao wakaona waingie contract za zeiss.
mshindani wa kweli alikuwa huawei,hawa wengine nitajie aliye serious.Siyo kweli...
Mbona hizo version wamezi name ovyo..
Hazina mvuto na zinachanganya wateja..
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Hizi points tatu ulizoweka hapa chini ndio yaleyale ya Sony kuproduce sensor nzuri za camera ila ukija kuangalia camera za simu zake ni trash...Nokia ana contract na zeiss hata kabla Android haijaanzishwa na wala Huawei hajatoa simu yoyote ya Android hivyo cheki facts zako vizuri.
1. Head of camera wa Huawei anatoka Nokia
2. Research centre za Huawei za Camera zipo Finland maabara za Nokia Za zamani.
3. Huawei anamlipa Nokia mamia ya mabilioni kila mwaka kutumia technology zake
Hizi points tatu ulizoweka hapa chini ndio yaleyale ya Sony kuproduce sensor nzuri za camera ila ukija kuangalia camera za simu zake ni trash...
Hahahah Sony ndio wanapofeli hapo, ni sawa na mtunzi wa vitabu kuwa na mtoto kilaza wa mwisho huku watoto wa wale anaowauzia vitabu kuwa vipanga.Hizi points tatu ulizoweka hapa chini ndio yaleyale ya Sony kuproduce sensor nzuri za camera ila ukija kuangalia camera za simu zake ni trash...
Zinauzwa wapi hizi mkuuHazichanganyi labda kama hufatilii...
Zenye point one yan *.1 eg 2.1, 3.1, 5.1, 7.1 nkzote ni mwaka 2018
Point afu mbil ni mwaka jana eg 4.2, 2.2, 3.2. 7.2nk
Point 3 ni mwaka huu mwakan zitakuwa eg 4.4 , 5.4, 7.4 nk
Mbona hizo version wamezi name ovyo..
Hazina mvuto na zinachanganya wateja..
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
yaani ni mtihani.Hahahah Sony ndio wanapofeli hapo, ni sawa na mtunzi wa vitabu kuwa na mtoto kilaza wa mwisho huku watoto wa wale anaowauzia vitabu kuwa vipanga.