Habari wana jf? Naomba elimu juu ya matumizi ya bolt (taxmtandao)

Habari wana jf? Naomba elimu juu ya matumizi ya bolt (taxmtandao)

MoonBoy

Senior Member
Joined
Jul 15, 2016
Posts
199
Reaction score
135
Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni mgeni kabisa katika ishu za Taxmtandao, hususan BOLT, Nataka kutumia chombo changu bajaj kujipatia riziki, na tayari nina akaunti, lakini sasa nasikia kuna hali ya kufungiwa. Leongo la uzi huu ni kufahamu jinsi ya kutumia Bolt kama dereva

POINT

1. Ni makosa gani yanaweza sababisha nikafungiwa?

2. Je Nisipo Accept Abiria, Hilo nalo ni kosa? Kwa maana nimeona hainilipi.

3. Kuna abiria yupo mbali na ulipo, na akakuelewa kua hutomfata, ila nimemuomba akanseli, lakini hakufanya hivyo, Je? Hapo nifanyeje? Mana nikikanseli mimi, litakua kosa

4. Ninachojua Baada ya ku-accept, namfuata alipo, nikisha mpakia nifanyeje?.. (Kuna abiria mmoja nilimpakia, nilipofika akaniambia tumalize trip, kiukweli sikuelewa pale, nilivuruga vuruga tu, ila sikufungiwa na sijui kama nilikua sahihi) sasa ndio nataka kujua nikisha Accept nini chakufanya mpaka kumaliza trip. Na kati ya abiria na dereva, nani anapaswa kumaliza trip?

5. Pia nasikia kuna makato yao hawa bolt kwa kila trip, lakini sikuona mahali palipo andikwa deni, lakini kuna mahali palipoandikwa EARNING TODAY,.. sasa hayo makato yao wanalipwaje? Au wanakata kwenye hizo earnings?


Naombeni msaada wenu ndugu zangu wazoefu, nina imani nitajifunza mengi, na wenzangu wasiofahamu kama mimi

Asanteni kwa ushauri
 
Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni mgeni kabisa katika ishu za Taxmtandao, hususan BOLT, Nataka kutumia chombo changu bajaj kujipatia riziki, na tayari nina akaunti, lakini sasa nasikia kuna hali ya kufungiwa. Leongo la uzi huu ni kufahamu jinsi ya kutumia Bolt kama dereva

POINT

1. Ni makosa gani yanaweza sababisha nikafungiwa?

2. Je Nisipo Accept Abiria, Hilo nalo ni kosa? Kwa maana nimeona hainilipi.

3. Kuna abiria yupo mbali na ulipo, na akakuelewa kua hutomfata, ila nimemuomba akanseli, lakini hakufanya hivyo, Je? Hapo nifanyeje? Mana nikikanseli mimi, litakua kosa

4. Ninachojua Baada ya ku-accept, namfuata alipo, nikisha mpakia nifanyeje?.. (Kuna abiria mmoja nilimpakia, nilipofika akaniambia tumalize trip, kiukweli sikuelewa pale, nilivuruga vuruga tu, ila sikufungiwa na sijui kama nilikua sahihi) sasa ndio nataka kujua nikisha Accept nini chakufanya mpaka kumaliza trip. Na kati ya abiria na dereva, nani anapaswa kumaliza trip?

5. Pia nasikia kuna makato yao hawa bolt kwa kila trip, lakini sikuona mahali palipo andikwa deni, lakini kuna mahali palipoandikwa EARNING TODAY,.. sasa hayo makato yao wanalipwaje? Au wanakata kwenye hizo earnings?


Naombeni msaada wenu ndugu zangu wazoefu, nina imani nitajifunza mengi, na wenzangu wasiofahamu kama mimi

Asanteni kwa ushauri
 
Kuna uzi mmoja huku umefafanua kinoma noma hii ishu. Ngoja wadau waje kuna mtu anaweza kukutag hapo
 
Nitashukuru mkuu
 
1. Ni makosa gani yanaweza sababisha nikafungiwa?

Makosa ni mengi sana, kuanzia ubora wa chombo, tabia zako kwa abiria, kutolipa commission nk. Nashauri usome T&C kwenye App ya Dereva.

2. Je Nisipo Accept Abiria, Hilo nalo ni kosa? Kwa maana nimeona hainilipi.

Mara moja sawa, ila mara nyingi inaweza kukuletea nongwa. Utapunguziwa point (rate) ambayo baadae itasababisha account iwe suspended.

3. Kuna abiria yupo mbali na ulipo, na akakuelewa kua hutomfata, ila nimemuomba akanseli, lakini hakufanya hivyo, Je? Hapo nifanyeje? Mana nikikanseli mimi, litakua kosa

Hiyo ni kama namba 2 hapo juu. Sio kila trip ina faida kwenye bolt. Zingine unakubali kuwanufaisha mabeberu.

4. Ninachojua Baada ya ku-accept, namfuata alipo, nikisha mpakia nifanyeje?.. (Kuna abiria mmoja nilimpakia, nilipofika akaniambia tumalize trip, kiukweli sikuelewa pale, nilivuruga vuruga tu, ila sikufungiwa na sijui kama nilikua sahihi) sasa ndio nataka kujua nikisha Accept nini chakufanya mpaka kumaliza trip. Na kati ya abiria na dereva, nani anapaswa kumaliza trip?

Ukifika, utasema kwenye App kama Umefika, abiria akipanda Utasema tena kwenye App, Start Trip kisha mnaanza kwenda. Mkifika uta-end trip. Usiwe na tabia ya ku-end bila reason.

5. Pia nasikia kuna makato yao hawa bolt kwa kila trip, lakini sikuona mahali palipo andikwa deni, lakini kuna mahali palipoandikwa EARNING TODAY,.. sasa hayo makato yao wanalipwaje? Au wanakata kwenye hizo earnings?

Lazima na Bolt uwalipe sasa malipo yapo kwa week au mwezi. Hayo wanakata direct Bank nadhani.

Kuna mtu ameweka link hapo juu ebu soma vizuri.
 
1. Ni makosa gani yanaweza sababisha nikafungiwa?

Makosa ni mengi sana, kuanzia ubora wa chombo, tabia zako kwa abiria, kutolipa commission nk. Nashauri usome T&C kwenye App ya Dereva.

2. Je Nisipo Accept Abiria, Hilo nalo ni kosa? Kwa maana nimeona hainilipi.

Mara moja sawa, ila mara nyingi inaweza kukuletea nongwa. Utapunguziwa point (rate) ambayo baadae itasababisha account iwe suspended.

3. Kuna abiria yupo mbali na ulipo, na akakuelewa kua hutomfata, ila nimemuomba akanseli, lakini hakufanya hivyo, Je? Hapo nifanyeje? Mana nikikanseli mimi, litakua kosa

Hiyo ni kama namba 2 hapo juu. Sio kila trip ina faida kwenye bolt. Zingine unakubali kuwanufaisha mabeberu.

4. Ninachojua Baada ya ku-accept, namfuata alipo, nikisha mpakia nifanyeje?.. (Kuna abiria mmoja nilimpakia, nilipofika akaniambia tumalize trip, kiukweli sikuelewa pale, nilivuruga vuruga tu, ila sikufungiwa na sijui kama nilikua sahihi) sasa ndio nataka kujua nikisha Accept nini chakufanya mpaka kumaliza trip. Na kati ya abiria na dereva, nani anapaswa kumaliza trip?

Ukifika, utasema kwenye App kama Umefika, abiria akipanda Utasema tena kwenye App, Start Trip kisha mnaanza kwenda. Mkifika uta-end trip. Usiwe na tabia ya ku-end bila reason.

5. Pia nasikia kuna makato yao hawa bolt kwa kila trip, lakini sikuona mahali palipo andikwa deni, lakini kuna mahali palipoandikwa EARNING TODAY,.. sasa hayo makato yao wanalipwaje? Au wanakata kwenye hizo earnings?

Lazima na Bolt uwalipe sasa malipo yapo kwa week au mwezi. Hayo wanakata direct Bank nadhani.

Kuna mtu ameweka link hapo juu ebu soma vizuri.
Nakushukuru sana mkuu, barikiwa sana, ngoja niusome huo uzi... Alafu kingine hapo uliposema ku-end trip bila reason, sijakupata.... Na kuhusu wanakata moja kwa moja kwa bank,.. Mbona sijaunganisha na bank yeyote, sasa itakuaje
 
Back
Top Bottom