Habari wana jukwaa nitangulize shukurani zangu za dhati

Habari wana jukwaa nitangulize shukurani zangu za dhati

Akabi kemanya

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2021
Posts
226
Reaction score
346
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi kijana wa kitanzania kupitia ukurasa huu nilipata mchumba aitwae _ _

jina naliweka kapuni maana ni maalum kwangu tu, hakika mwanzo sikuamini kama kupitia jukwaa hili unaweza kupta mchumba au marafiki

Rakini leo naomba nithibitishe kuwa jukwaa hili ni ufunguo wa marafiki na wachumba tena ukilitumia vizuri utapata faida kubwa kuliko ulivyo kusudia, Angalizo wadada wa humu wako makini kuliko wewe unavyo hisi.
 
Ngoja na mimi nitafute nimechoka mademu wa useshilini elimu Hamna
 
Mnaachana lini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Punguza wivu wewe tafuta na wewe wako utapata tu, hapa nijukwaa huru kabisa acha kuteseka na hisia weka wazi mambo yako waungwana watakusaidia
 
Punguza wivu wewe tafuta na wewe wako utapata tu, hapa nijukwaa huru kabisa acha kuteseka na hisia weka wazi mambo yako waungwana watakusaidia
Umepata kweli? Mbona una hasira sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom