Tetesi: Habari za hivi punde: Kinana ameandika barua ya kujiuzulu

Tetesi: Habari za hivi punde: Kinana ameandika barua ya kujiuzulu

Kama ni kweli huyu mtu alikuwa muhimu kwa ccm tuseme ukweli tu kinana ni mastermind Wa siasa za ccm
 
Nikiwa ndiyo nakimalizia kukisikilizia kipindi cha morning magic, nimesikia wakitangaza kwa ufupi mnoo kuwa Kinana ameandika barua ya kujiuzulu.

Mwenye taarifa zaidi.... Kipi kilichopelekea mpk kuomba kujiuzulu..
Karibu tujadili.
Wewe usijidanganye kuwa kinana ni mtu mpuuzi kiasi hicho,huyu ni mjuzi wa mambo na utendaji wske wa kazi ni wa hali ya juu
 
Nadhani Mzee umri umeenda sana,

Ni muda muafaka kupumzika kiungwana na kistaarabu. Kwa kuzingatia zama hizi, nadhani Kinana anastaafu bila kinyongo. Nisiwe mnafki, Busara za Kinana zimesaidia kwa namna fulani kutufikisha hapa tulipo kama Taifa.

Niko kipepeni hapa kuangalia safu ya kukabidhi Nchi kwa Wapinzani itayoundwa na Bwana mkubwa hivi karibuni.

Imagine, Hivi ile ccm ya Mukama, ingekuwa wapi hivi sasa.......

BACK TANGANYIKA
Well said,Kinana plaid a very big role
 
Wacha ajiuzulu ni uhuru wake,alijiuzulu waziri mkuu na nchi haikusimama!
 
Kinana hakumumunya nia yake ya kuchimba ngazi baada ya uchaguzi, alilizungumzua hilo hata kabla Raid Magufuli hajatambulika kuwa mgombea. Sasa haya maunafiki na uongo unatuletea faida gani. Kinana SI mngangania cheo, aliombwa na mkapa na Kikwete wamuweke kwenye serekali zao lakini Ndugu Kinana alikataa na kusema kuna vijana wengi wajuzi na ni wakati Wao.
 
Mr. Kinana ni jembe watanzania tunamkubali. Akiamua kupumzika, basi na wengine wafuate nyayo
 
Nimeona kwenye page ya eatv..ukweli wa habari hii noa wamethibitisha kujiuzuru kwake.
 
Katibu mkuu kwa niaba ya Secretarieti na kwa mujibu wa katiba ya Chama, anajiuzuru baada ya Mwenyekiti kupatikana ili kumpa nafasi Mwenyekiti mpya kupanga Secretarieti atakayoona namfaa kufanya nayo kazi. mengine muyawazayo ni njozi
 
Siku Mbowe anajiuzulu, ama Lipumba anaamua kuachana na CUF moja kwa moja, na siku Maalim seif akiachana na kugombea urais Zanzibar, natembea kwa miguu mpaka urusi na kurudi...
Sasa kutembea hadi urusi kwa miguu si inategemea uko nchi gani?Yawezekana upo Ukraine tena karibu na mpaka wa urusi sasa utashindwaje kufika urusi kwa miguu?
 
ni utamaduni wa chama... kumbukeni ya maneno ya sendeka wakuu
 
Kwa alichokisema ole sendeka juzi Ni kuwa maghu akikabidhiwa Chama uongozi unatakiwa uachie ngazi ili mwenyekiti ajipange na watu wake sasa naona kinana kaamua kuanza kutekeleza hilo
Kwa maana hiyo na sendeka naye inabidi arudi kijijini!
 
Safi mzee dentist......ila huku Arusha hatukutaki ishia huko dodoma,Tembo wetu ukija hawatakuwa salama
Mkuu mbona hututakii mema kwa kututupia huyo kinana? Kwani wana dodoma ndiyo hatuhitaji mali asili?
 
Back
Top Bottom