Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Naona humjui Lizaboni wewekama lizaboni kapinga hii habari ujue labda ni uongo. Kwasabab huyu jamaa ni hatari mwanzon nilizan msela mwenzetu. Ila sasa hiv niko naye chonjo na sasa hivi anavyoposti hivi anaposti kutoka kijitonyama