Tetesi: Habari za hivi punde: Kinana ameandika barua ya kujiuzulu

Tetesi: Habari za hivi punde: Kinana ameandika barua ya kujiuzulu

kama lizaboni kapinga hii habari ujue labda ni uongo. Kwasabab huyu jamaa ni hatari mwanzon nilizan msela mwenzetu. Ila sasa hiv niko naye chonjo na sasa hivi anavyoposti hivi anaposti kutoka kijitonyama
Naona humjui Lizaboni wewe
 
Kwa alichokisema ole sendeka juzi Ni kuwa maghu akikabidhiwa Chama uongozi unatakiwa uachie ngazi ili mwenyekiti ajipange na watu wake sasa naona kinana kaamua kuanza kutekeleza hilo
Wanaosema uzushi inaonekana hawafuatilii kwa karibu kilichosemwa na msemaji wa chama. Hata kama ni uzushi utakuwa karibu na kweli. Nafikiri hilo litakuwa jambo la busara zaidi kuliko kusubiria hata aenguliwe. Hata hivyo huohuo uzushi ulisema mabadiliko makubwa yaja pengine yameanza!.
 
Sasa kutembea hadi urusi kwa miguu si inategemea uko nchi gani?Yawezekana upo Ukraine tena karibu na mpaka wa urusi sasa utashindwaje kufika urusi kwa miguu?
Nipo Tandahimba mkuu, nalima maharage..karibu
 
Nadhani Mzee umri umeenda sana,

Ni muda muafaka kupumzika kiungwana na kistaarabu. Kwa kuzingatia zama hizi, nadhani Kinana anastaafu bila kinyongo. Nisiwe mnafki, Busara za Kinana zimesaidia kwa namna fulani kutufikisha hapa tulipo kama Taifa.

Niko kipepeni hapa kuangalia safu ya kukabidhi Nchi kwa Wapinzani itayoundwa na Bwana mkubwa hivi karibuni.

Imagine, Hivi ile ccm ya Mukama, ingekuwa wapi hivi sasa.......

BACK TANGANYIKA
Wasira bado kijana?
 
kama lizaboni kapinga hii habari ujue labda ni uongo. Kwasabab huyu jamaa ni hatari mwanzon nilizan msela mwenzetu. Ila sasa hiv niko naye chonjo na sasa hivi anavyoposti hivi anaposti kutoka kijitonyama

Hata akiwa Kijitonyama au Washington ... kujiuzulu ni jambo binafsi hawezi kulijua!!

Inawezekana mtu akalala usiku kesho akaamka na kuandika barua ...!!
 
Siku Mbowe anajiuzulu, ama Lipumba anaamua kuachana na CUF moja kwa moja, na siku Maalim seif akiachana na kugombea urais Zanzibar, natembea kwa miguu mpaka urusi na kurudi...
Na siku msukuma anajiuzulu?
 
Nadhani Mzee umri umeenda sana,

Ni muda muafaka kupumzika kiungwana na kistaarabu. Kwa kuzingatia zama hizi, nadhani Kinana anastaafu bila kinyongo. Nisiwe mnafki, Busara za Kinana zimesaidia kwa namna fulani kutufikisha hapa tulipo kama Taifa.

Niko kipepeni hapa kuangalia safu ya kukabidhi Nchi kwa Wapinzani itayoundwa na Bwana mkubwa hivi karibuni.

Imagine, Hivi ile ccm ya Mukama, ingekuwa wapi hivi sasa.......

BACK TANGANYIKA
Umetoa swali zuri nauliza vipi Ccm ya makamba
 
Back
Top Bottom