Tetesi: Habari za hivi punde: Kinana ameandika barua ya kujiuzulu

Tetesi: Habari za hivi punde: Kinana ameandika barua ya kujiuzulu

Nikiwa ndiyo nakimalizia kukisikilizia kipindi cha morning magic, nimesikia wakitangaza kwa ufupi mnoo kuwa Kinana ameandika barua ya kujiuzulu.

Mwenye taarifa zaidi.... Kipi kilichopelekea mpk kuomba kujiuzulu..
Karibu tujadili.
Mwache aende akafanye biashara zake
 
Hii pilipili ngoja iwawashe walaji tu, sie wengine ngoja tufanye yetu.
 
Kama ni kweli huyu mtu alikuwa muhimu kwa ccm tuseme ukweli tu kinana ni mastermind Wa siasa za ccm
kwenye siasa huyu alikuwa ni mtu wa fitna sana na fitna alizielewa akipita mahali anashiriki kupalilia mashamba,kujenga nyumba,kuchoma matofari huyu acha tu aendezake akapumzike na mimi nakubaliana na aliyesema kama ccm hawakujipanga kumpata mtu wa kariba ya Kinana ni issue tayari.
 
Lizabon ni mganga njaa tu pale Lumumba. Hana lolote wala chochote ndani ya chama chetu.
 
Anajiuzulu sasa hivi au baada ya mkutano mkuu? Maana kama kajiuzulu sasa hivi hana haki ya kuhudhuria vikao vijavyo kwa cheo hicho.
Na kama kafanya hivyo basi mambo sio shwari hata kidogo tusidanganyane

Ikizingatiwa kwamba yeye ndio mtendaji mkuu wa chama, je huo mkutano mkuu utakuwaje?
 
[emoji208] [emoji208] [emoji208] [emoji208] [emoji208] [emoji208]
 
Nipo maeneo ya mbuga huku Tembo wapo Happy Sana sielewi why!!!

happy-elephant.jpg


3da982b75df8fbb1856342dd13ef5785.jpg
happy-elephant.jpg
 
Naombeni mawasiliano ya uvccm Mwanza hasa mwenyekiti
 
Master plan wa CCM anaondoka ? Kama CCM hawajaandaa mbadala wake its better wamuombe aendelee najua wachache sana watanielewa .
Wapo, akina kibajaji, yule wa sanamu, Msukule
 
Tupe ukweli lizaboni. USISAHAU NITAKUANDIKIA INBOX, NITAKUWA SONGEA KUANZIA TAREHE 25.
Nitakuwa bado sijarejea safari ya Dodoma. Nitatoka Julai 26 Dodoma kupitia Dar ambako nitapumzika kwa muda wa siku mbili then nitarejea Songea
 
Nitakuwa bado sijarejea safari ya Dodoma. Nitatoka Julai 26 Dodoma kupitia Dar ambako nitapumzika kwa muda wa siku mbili then nitarejea Songea
Hujagusia ukweli wa hii habari, kama ulivyoombwa na mdau
 
Back
Top Bottom