Naona humjui Lizaboni wewekama lizaboni kapinga hii habari ujue labda ni uongo. Kwasabab huyu jamaa ni hatari mwanzon nilizan msela mwenzetu. Ila sasa hiv niko naye chonjo na sasa hivi anavyoposti hivi anaposti kutoka kijitonyama
Wanaosema uzushi inaonekana hawafuatilii kwa karibu kilichosemwa na msemaji wa chama. Hata kama ni uzushi utakuwa karibu na kweli. Nafikiri hilo litakuwa jambo la busara zaidi kuliko kusubiria hata aenguliwe. Hata hivyo huohuo uzushi ulisema mabadiliko makubwa yaja pengine yameanza!.Kwa alichokisema ole sendeka juzi Ni kuwa maghu akikabidhiwa Chama uongozi unatakiwa uachie ngazi ili mwenyekiti ajipange na watu wake sasa naona kinana kaamua kuanza kutekeleza hilo
Ohh nmekupataaaa ndomana lizaboni povuuu n'a kamasi linamtokaaaKinana aliwasimamia sana hao vijana kufanya propaganda za hovyo sana kwa kuchafua na kupakana matope
Teh teh, alikuambia hawezi kujiuzulu??Huu ni uzushi toka mtaa wa ufipa
Nipo Tandahimba mkuu, nalima maharage..karibuSasa kutembea hadi urusi kwa miguu si inategemea uko nchi gani?Yawezekana upo Ukraine tena karibu na mpaka wa urusi sasa utashindwaje kufika urusi kwa miguu?
Kwani ni mtumisha wa Umma mpaka useme apangiwe kazi nyingine?Itakuwa vema magu akimpangia kazi nyingine hasa mkuu wa bodi ya wakurugenz TANAPA
Huu ni uzushi toka mtaa wa ufipa
Hata tembo wanamkubali sana mzee dentistMr. Kinana ni jembe watanzania tunamkubali. Akiamua kupumzika, basi na wengine wafuate nyayo
Wasira bado kijana?Nadhani Mzee umri umeenda sana,
Ni muda muafaka kupumzika kiungwana na kistaarabu. Kwa kuzingatia zama hizi, nadhani Kinana anastaafu bila kinyongo. Nisiwe mnafki, Busara za Kinana zimesaidia kwa namna fulani kutufikisha hapa tulipo kama Taifa.
Niko kipepeni hapa kuangalia safu ya kukabidhi Nchi kwa Wapinzani itayoundwa na Bwana mkubwa hivi karibuni.
Imagine, Hivi ile ccm ya Mukama, ingekuwa wapi hivi sasa.......
BACK TANGANYIKA
Uongo
kama lizaboni kapinga hii habari ujue labda ni uongo. Kwasabab huyu jamaa ni hatari mwanzon nilizan msela mwenzetu. Ila sasa hiv niko naye chonjo na sasa hivi anavyoposti hivi anaposti kutoka kijitonyama
Atajaza yeye na MUNGU. ....time will tellWauwaji wa tembo wanajulikana sana na wamfanya biashara hiyo pia wanajulikana. MHE kinana hahusiki na HUO uchafu
Na siku msukuma anajiuzulu?Siku Mbowe anajiuzulu, ama Lipumba anaamua kuachana na CUF moja kwa moja, na siku Maalim seif akiachana na kugombea urais Zanzibar, natembea kwa miguu mpaka urusi na kurudi...
Yupo Alhaj BulemboMaster plan wa CCM anaondoka ? Kama CCM hawajaandaa mbadala wake its better wamuombe aendelee najua wachache sana watanielewa .
Umetoa swali zuri nauliza vipi Ccm ya makambaNadhani Mzee umri umeenda sana,
Ni muda muafaka kupumzika kiungwana na kistaarabu. Kwa kuzingatia zama hizi, nadhani Kinana anastaafu bila kinyongo. Nisiwe mnafki, Busara za Kinana zimesaidia kwa namna fulani kutufikisha hapa tulipo kama Taifa.
Niko kipepeni hapa kuangalia safu ya kukabidhi Nchi kwa Wapinzani itayoundwa na Bwana mkubwa hivi karibuni.
Imagine, Hivi ile ccm ya Mukama, ingekuwa wapi hivi sasa.......
BACK TANGANYIKA