calvin priva
Member
- Jan 24, 2014
- 9
- 3
Nimewaza sana kutafuta ufadhili wa kampuni yoyote ili inijengee hostels za kisasa zenye vyumba hamsini lakini nimeona ni vyema nilete wazo langu hapa na baada ya hapo ndo nichukue maamuzi, malipo ya deni la kampuni tutakatana ndani ya miaka kadhaa hadi pesa yao imalizike na haitaniumiza kwasababu katika vyumba hamsini hao watachukua kodi ya vyumba arobaini kila mwaka hadi wamalize deni lao then mimi nitabaki na vyumba kumi kwaajili ya matumizi yangu baada ya kumaliza deni lao nyumba nzima inakuwa yangu.. Je, ufadhili kama huo unawezekana?