Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Duh ! Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ! Hatari sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]YESU BORA ARUDI TU
Kagame amewashika maskio watu wengi sana, wakati hana chochote wala hana lolote. Ka Rwanda kenyewe ni kama Wilaya ya Tunduru. Kale ka Nchi kanakuzwa na Propaganda za watu waanaoskia stori za Vijiwe vya kawaha na hata Rwanda penyewe hawajawahi fika.Papaa wacongo kwa Kagame ni laini kubali huo ukweli.
Kagame ana mamluki wa kutosha ndani ya serikali na jeshi la Congo.
Kabila mtoto babake ni mnyarwanda alikua Rais wa Congo,Kaberebe ni mnyarwanda tena ni mtu wa kagame aliwai kuwa mkuu wa majeshi Congo.
na bado kulikua na maafisa wengi wa Kagame wakihudumu kwenye jeshi na serikali ya Congo.
YESU BORA ARUDI TU
wanasubiri nini sasa, kwamba congo nzima wapigwe na rwanda, mbona dharau hizi.Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
Bila msaada kutoka nchi zingine Congo aiwezi kuipiga Rwanda.
Papaa wacongo kwa Kagame ni laini kubali huo ukweli.
Kagame ana mamluki wa kutosha ndani ya serikali na jeshi la Congo.
Kabila mtoto babake ni mnyarwanda alikua Rais wa Congo,Kaberebe ni mnyarwanda tena ni mtu wa kagame aliwai kuwa mkuu wa majeshi Congo.
na bado kulikua na maafisa wengi wa Kagame wakihudumu kwenye jeshi na serikali ya Congo.
Rwanda Wapigwe tuuRwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
Ni sahihi. Kawatisha wazigua wa JF wanaona kama jamaa ni mwamba kumbe hamna kitu. Wa kawaida sana.Mmedanganyika snaa na Security intelligence politics za Kagame. Kuna siasa za kiusalama pia kama alivyokuwa nazo Russia hadi leo ameshindwa kuisambaratisha Ukraine
Hizi Siasa , anazifanya snaa Kagame na kujiôneshq he is smart and blah blah
In really sense Ana jeshi dogo na Hana technology ya kivita anayo claim
Enzi ya JK , tulipeleka Army intelligence yetu kwenye huo mkoa wa Kagame ( Rwanda) na tulikuwa na solid findings mpaka JWTZ ikataka kumsambaratisha.
JPM alipojaribu kumuweka karibu PK na kukaribisha baadhi ya security ya PK , nini kilimpata ? Mambo hayatokei bahati mbaya na PK was proven kuwa hana uwezo wa kumlinda yoyote including himself , anachofanya ni siasa za Usalama
And you should know the man now is sick
Tabora- 75,150 km²Rwanda ni kama TABORA. Maeneo muhimu yakidhibitiwa…… Kagame anakimbia Ofisi. Vita ya Rwanda, hardly kulast 30 days
Enzi ya JK , kuna kipindi alileta fyoko, JWTZ walimuomba JK atoe go ahead wakasaifafishe RWANDA in within 48 hours
Suffering from what?And you should know the man now is sick
Ukiona DRC anaungana na Burundi dhidi ya Rwanda,Sasa congo makundi ya waasi wa ndani yamemshinda Rwanda ndo atamuweza?
Tatizo lenu mnaichukulia Kongo kwa kuitazama Mashariki yake tu au mnaiona Rwanda ina uwezo sana. Rwanda na DRC wakae uwanja wa vita bila influence ya taifa lolote la nje Rwanda anapigwa.Bila msaada kutoka nchi zingine Congo aiwezi kuipiga Rwanda.
Ukiangalia Tshekedi yupo sahihi kabisa SADC, Tanzania tukiwepo na tunaongoza tupo zaidi kuisaidia DRC isimame kuliko Rwanda, Uganda na Kenya (EAC).Kitu usicho kujua huko DRC vinara wa wizi wa madini ni Rwanda na Uganda pia hao ndio wanaanzisha vurugu na kutwangana huko.
Wakenya nao walienda wakaishia kuiba madini.
UN inafadhiri levels huko DRC. Hizo mbinu zinaratibiwa na USA
Hii CCM ni zaidi ya tuijuavyo😀😀USIOGOOPE.
Zimwi likujualo...View attachment 2894144
Mkuu hao wa Marekani ukute ndio wa pishi kwa maslahi yaoRwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
kuna kitu hujaelewa.Tatizo lenu mnaichukulia Kongo kwa kuitazama Mashariki yake tu au mnaiona Rwanda ina uwezo sana. Rwanda na DRC wakae uwanja wa vita bila influence ya taifa lolote la nje Rwanda anapigwa.
Hapa Afrika hakuna nchi inaweza pewa misukosuko kama DRC na isiwe kama wao walivyo sasa, labda nchi chache sana kama Egypt na Algeria.