Habari za Intelijensia zinaonyesha Rwanda na DRC ziinaweza kupigana.

Habari za Intelijensia zinaonyesha Rwanda na DRC ziinaweza kupigana.

Papaa wacongo kwa Kagame ni laini kubali huo ukweli.

Kagame ana mamluki wa kutosha ndani ya serikali na jeshi la Congo.

Kabila mtoto babake ni mnyarwanda alikua Rais wa Congo,Kaberebe ni mnyarwanda tena ni mtu wa kagame aliwai kuwa mkuu wa majeshi Congo.
na bado kulikua na maafisa wengi wa Kagame wakihudumu kwenye jeshi na serikali ya Congo.
Kagame amewashika maskio watu wengi sana, wakati hana chochote wala hana lolote. Ka Rwanda kenyewe ni kama Wilaya ya Tunduru. Kale ka Nchi kanakuzwa na Propaganda za watu waanaoskia stori za Vijiwe vya kawaha na hata Rwanda penyewe hawajawahi fika.
Kwa kifupi punguzeni kumpa Kagame sifa asizostahilli na Rwanda kwa ujumla. Kale ka Nchi hata tungempa Meya wa Kinondoni Bw. SONGORO kangekuwa na Maendeleo zaidi ya hayo yaliyopo.
 
Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
wanasubiri nini sasa, kwamba congo nzima wapigwe na rwanda, mbona dharau hizi.
 
Papaa wacongo kwa Kagame ni laini kubali huo ukweli.

Kagame ana mamluki wa kutosha ndani ya serikali na jeshi la Congo.

Kabila mtoto babake ni mnyarwanda alikua Rais wa Congo,Kaberebe ni mnyarwanda tena ni mtu wa kagame aliwai kuwa mkuu wa majeshi Congo.
na bado kulikua na maafisa wengi wa Kagame wakihudumu kwenye jeshi na serikali ya Congo.

Mmedanganyika snaa na Security intelligence politics za Kagame. Kuna siasa za kiusalama pia kama alivyokuwa nazo Russia hadi leo ameshindwa kuisambaratisha Ukraine

Hizi Siasa , anazifanya snaa Kagame na kujiôneshq he is smart and blah blah

In really sense Ana jeshi dogo na Hana technology ya kivita anayo claim

Enzi ya JK , tulipeleka Army intelligence yetu kwenye huo mkoa wa Kagame ( Rwanda) na tulikuwa na solid findings mpaka JWTZ ikataka kumsambaratisha.
JPM alipojaribu kumuweka karibu PK na kukaribisha baadhi ya security ya PK , nini kilimpata ? Mambo hayatokei bahati mbaya na PK was proven kuwa hana uwezo wa kumlinda yoyote including himself , anachofanya ni siasa za Usalama
And you should know the man now is sick
 
Kwa yale yanayoendelea Congo kutokana na Rwanda kupandikiza waasi, ni sawa Congo kuingia vitani dhidi yao.
 
Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
Rwanda Wapigwe tuu
 
Mmedanganyika snaa na Security intelligence politics za Kagame. Kuna siasa za kiusalama pia kama alivyokuwa nazo Russia hadi leo ameshindwa kuisambaratisha Ukraine

Hizi Siasa , anazifanya snaa Kagame na kujiôneshq he is smart and blah blah

In really sense Ana jeshi dogo na Hana technology ya kivita anayo claim

Enzi ya JK , tulipeleka Army intelligence yetu kwenye huo mkoa wa Kagame ( Rwanda) na tulikuwa na solid findings mpaka JWTZ ikataka kumsambaratisha.
JPM alipojaribu kumuweka karibu PK na kukaribisha baadhi ya security ya PK , nini kilimpata ? Mambo hayatokei bahati mbaya na PK was proven kuwa hana uwezo wa kumlinda yoyote including himself , anachofanya ni siasa za Usalama
And you should know the man now is sick
Ni sahihi. Kawatisha wazigua wa JF wanaona kama jamaa ni mwamba kumbe hamna kitu. Wa kawaida sana.
 
Rwanda ni kama TABORA. Maeneo muhimu yakidhibitiwa…… Kagame anakimbia Ofisi. Vita ya Rwanda, hardly kulast 30 days

Enzi ya JK , kuna kipindi alileta fyoko, JWTZ walimuomba JK atoe go ahead wakasaifafishe RWANDA in within 48 hours
Tabora- 75,150 km²
Rwanda- 25,338 km²
Sikonge District - 26,283 km²

Rwanda ni kama wilaya ya Sikonge. Kagame kwa level ya Tanzania ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge 🤣
 
Sasa congo makundi ya waasi wa ndani yamemshinda Rwanda ndo atamuweza?
Ukiona DRC anaungana na Burundi dhidi ya Rwanda,

Jua sisi pia tumia huo vitani upande mojawapo!!

Tegemea Hali ya kiuchumi ya wananchi kuzidi kuwa Tete, maana Kodi zao zinatumika kununua bunduki😪😪
 
Bila msaada kutoka nchi zingine Congo aiwezi kuipiga Rwanda.
Tatizo lenu mnaichukulia Kongo kwa kuitazama Mashariki yake tu au mnaiona Rwanda ina uwezo sana. Rwanda na DRC wakae uwanja wa vita bila influence ya taifa lolote la nje Rwanda anapigwa.

Hapa Afrika hakuna nchi inaweza pewa misukosuko kama DRC na isiwe kama wao walivyo sasa, labda nchi chache sana kama Egypt na Algeria.
 
USIOGOOPE.
Zimwi likujualo...
2645411.jpg
 
Kitu usicho kujua huko DRC vinara wa wizi wa madini ni Rwanda na Uganda pia hao ndio wanaanzisha vurugu na kutwangana huko.

Wakenya nao walienda wakaishia kuiba madini.

UN inafadhiri levels huko DRC. Hizo mbinu zinaratibiwa na USA
Ukiangalia Tshekedi yupo sahihi kabisa SADC, Tanzania tukiwepo na tunaongoza tupo zaidi kuisaidia DRC isimame kuliko Rwanda, Uganda na Kenya (EAC).
 
Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
Mkuu hao wa Marekani ukute ndio wa pishi kwa maslahi yao
 
Tatizo lenu mnaichukulia Kongo kwa kuitazama Mashariki yake tu au mnaiona Rwanda ina uwezo sana. Rwanda na DRC wakae uwanja wa vita bila influence ya taifa lolote la nje Rwanda anapigwa.

Hapa Afrika hakuna nchi inaweza pewa misukosuko kama DRC na isiwe kama wao walivyo sasa, labda nchi chache sana kama Egypt na Algeria.
kuna kitu hujaelewa.
jeshi la wazalendo ambalo ni muungano wa vikundi vya waasi wa Congo linapeleka moto vizuri kwa M23.
lakini jeshi la wa Congo wanatupa silaha wanakimbia vita,why?

ipo hivi ukiwa na mamluki kwenye war scalle hutoboi.jeshi la tz huwa lina wafyeka M23 lenyewe,kama likishirikiana basi majeshi ya mataifa mengine lakini sio jeshi la Congo lenye mamluki.
 
Back
Top Bottom