Habari za Intelijensia zinaonyesha Rwanda na DRC ziinaweza kupigana.

Habari za Intelijensia zinaonyesha Rwanda na DRC ziinaweza kupigana.

Sas CIA wanafata nini africa US wanajikuta kinanani sijuh
Hao washenzi wakitia miguu sehemu lazima kichafuke, na sio kama hawana huo uwezo, wanao.
Kwa Marekani vita ni biashara kama sisi tunavyouza korosho
Mmarekani anapenda vita (namaanisha elites wanaoongoza Marekani na sio raia)

Tukaze mkanda wasituingize kwenye hio mipango yao
 
Back
Top Bottom