Tetesi: Habari za kusikitisha; Continental kufa rasmi mitambo yake kuzimika tarehe 1 march

Hahahahahahhahahahahah [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naamini kabisa wanakuwa ndotoni. Usijiulize sana mkuu.
 
Hahahahahahhahahahahah [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naamini kabisa wanakuwa ndotoni. Usijiulize sana mkuu.
[emoji15] [emoji23] [emoji3]
 
Nimechaka sana kaka.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanafiki nchi hii wako vyema sana
 
Ha ha ha!
 
" Continental " ndiyo nini ? Inatangaza matangazo gani. ? Ukweli sijaelewa hapa
 
Continental iko imara kabisa, kadi na vingamuzi vinauzwa madukani kama kawaida, sijui taarifa hizi wewe unazipikia wapi?
 
Ndo maana jamaa alisema hamna mfanyabiashara aliyemchangia inaonekana mchango wao kautosa
 
Mmiliki wake si kada na alijitoa sana wakati Wa shida,au ndo malipo yake.
 
Jamaa wajanja sana...miezi minne nyuma walikua na promotion. ..Vingamuzi viliuzwa kinoma 35000 ...Leo ukienda Rock City ofisi imefungwa na mnyororo
 
Jamaa alijikomba kwenye kampeni za urais alidhani atamsamehe kodi. Wacha aipate kujipendekeza
 
Ndio hao wenye Startv.. acha waende zao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…