Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana ikawa kweli maana tff wanaangalia MAPATO KWANZA halafu mambo mengine baadae...
malinzi kuja hapa..
Tueleze kuna haja gani ya kuwa na ligi sasa.
Kwa nini mbeya city wasikate rufaa FIFA.??
mkuu ile habari kwa maelezo ya katibu wa TFF amesema mwenye haki ya kushiriki moja kwa moja ni #AZAM kwakuwa TANZANIA ndio wa andaji wa mashindano wamepewa nafasi ya upendeleo kuingiza timu 3 . kasema hizo timu 2 wanachaguwa wao mwenyewe
sidhani kama TFF kwa kigezo walicho kitumia kwa kumuingiza SIMBA badala ya MBEYA CITY ni sawa.
hakuna timu inayo penda kukaa bila ubingwa ila kwa bahati mbaya TANZANIA ligi yetu niya SIMBA na YANGA....