Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Mie sio mtaalam ila kwa vyovyote vile, uwajibikaji kwenye hii 1.5 T hauwezi kukwepeka. Hapo kuna mawili, CAG ametudanganya (hajui kazi yake) au serikali wanaficha kitu.

Kama manunuzi ya ndege na matumizi mengine hayakupitishwa na bunge, unategemea repoti itakuwa sawa?

Kwa vyovyote vile. Kuna upande inabidi utoe maelezo. Hii ya kusingizia vyombo vya usalama itazima mjadala kirahisi sana. Ni kama ilivyotokea ile boat ya kwenda Bagamoyo, hairuhusiwi kujadili.
 
Ni lini kumewahi kuwa na utaratibu ulio wazi katika kuajiri watu wa usalama? Na ni lini budget ya masuala ya usalama imewahi kuwekwa wazi?
Kwa hiyo watu wa Usalama wanaajiriwa ovyo ovyo tu kama wafanyakazi wa duka la mhindi? Na matumizi yao ni bora liende bila kuwa na namna fulani ya uwajibikaji? Tofautisha kati ya "confidentaility" na "irregularity". Kama hujui maana ya hivi vitu viwili bora ukae kimya.
 
Umesahau na Yale mabunda ya noti malaika anayogawa akiwa kwenye ziara.
Hivi ulishawahi kushika zaidi ya elfu 35?

Trillion 1.5 ikitolewa kwenye system kwa uchumi kama wa Tanzania nchi lazima ifilisike Ile pesa ya escrow isiyozidi hata billion 350 ilianza kuchotwa kuanzia enzi za mwinyi hii trillion 1.5 ndio ichukuliwe kwa miezi 2?

Huu utumbo mwingine kwamba hiyo pesa inalipia mshahara ya mambo ya Usalama ndio utaahira kabisa, wafanyakazi wote Tanzania nzima zaidi ya laki 5 wanalipwa mshahara hauzidi billion 500 kwa mwezi

Nyie mataahira mnadanganyana hapa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa siri na pesa anazotoa Rais kwa wananchi ndio zimegharimu trillion 1.5

Lazima uwe maiti ndio uamini hii mavi
 
Mie sio mtaalam ila kwa vyovyote vile, uwajibikaji kwenye hii 1.5 T hauwezi kukwepeka. Hapo kuna mawili, CAG ametudanganya (hajui kazi yake) au serikali wanaficha kitu.

Kama manunuzi ya ndege na matumizi mengine hayakupitishwa na bunge, unategemea repoti itakuwa sawa?

Kwa vyovyote vile. Kuna upande inabidi utoe maelezo. Hii ya kusingizia vyombo vya usalama itazima mjadala kirahisi sana. Ni kama ilivyotokea ile boat ya kwenda Bagamoyo, hairuhusiwi kujadili.
hee huo ugawaji wa mapesa kwenye misafara matumizi ya bashite uzinduziununuzi wa madiwani nk nk nkhela zitaacha kuyeyuka
 
hahahah Malofa utawapa kwenye hili
 
Hivi ulishawahi kushika zaidi ya elfu 35?

Trillion 1.5 ikitolewa kwenye system kwa uchumi kama wa Tanzania nchi lazima ifilisike Ile pesa ya escrow isiyozidi hata billion 350 ilianza kuchotwa kuanzia enzi za mwinyi hii trillion 1.5 ndio ichukuliwe kwa miezi 2?

Hivi unajua kusoma? Umeambiwa sehemu kubwa ya Trilioni 1.5 wewe unakurupuka kuwa ni sehemu yote ya Trilioni 1.5. Huko zilokoenda nyingine tutawajulisha taratibu, bado tunapewa taarifa. Na nani kasema zilichukuliwa kwa miezi miwili? Hata sehemu iliyotimika kwa mambo ya waganga wa kienyeji hatutaisema. Kwani mlipewa invoice kwa huduma zao?
 
Hivi ulishawahi kushika zaidi ya elfu 35?

Trillion 1.5 ikitolewa kwenye system kwa uchumi kama wa Tanzania nchi lazima ifilisike Ile pesa ya escrow isiyozidi hata billion 350 ilianza kuchotwa kuanzia enzi za mwinyi hii trillion 1.5 ndio ichukuliwe kwa miezi 2?

Huu utumbo mwingine kwamba hiyo pesa inalipia mshahara ya mambo ya Usalama ndio utaahira kabisa, wafanyakazi wote Tanzania nzima zaidi ya laki 5 wanalipwa mshahara hauzidi billion 500 kwa mwezi

Nyie mataahira mnadanganyana hapa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa siri na pesa anazotoa Rais kwa wananchi ndio zimegharimu trillion 1.5

Lazima uwe maiti ndio uamini hii mavi
Unataka tukuamini wewe au ripoti ya CAG ilyoeeleza 1.5 ilikusanywa lakini haioneshi imetumika vipi?
 
hee huo ugawaji wa mapesa kwenye misafara matumizi ya bashite uzinduziununuzi wa madiwani nk nk nkhela zitaacha kuyeyuka

Alaf unaambiwa hakuna pesa zilizopotea na wanataka vitabu viwe sawa. Haiendi namna hiyo.
 
Nikiangalia idadi ya pesa na utumbo wako haviingiliani kabisa,ni mbingu na ardhi,porojo hizi wataelewa mashabiki wako tu,sio ma GT.
Majibu ya naibu waziri wa fedha yalijitosheleza kabisa
Itapendeza zaidi ukimramba viatu vyake.
 
Hivi ulishawahi kushika zaidi ya elfu 35?

Trillion 1.5 ikitolewa kwenye system kwa uchumi kama wa Tanzania nchi lazima ifilisike Ile pesa ya escrow isiyozidi hata billion 350 ilianza kuchotwa kuanzia enzi za mwinyi hii trillion 1.5 ndio ichukuliwe kwa miezi 2?

Huu utumbo mwingine kwamba hiyo pesa inalipia mshahara ya mambo ya Usalama ndio utaahira kabisa, wafanyakazi wote Tanzania nzima zaidi ya laki 5 wanalipwa mshahara hauzidi billion 500 kwa mwezi

Nyie mataahira mnadanganyana hapa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa siri na pesa anazotoa Rais kwa wananchi ndio zimegharimu trillion 1.5

Lazima uwe maiti ndio uamini hii mavi

Sasa kwanini ganzi na kigugumizi binatawala kila huu Mjadala wa 1.5 T unapoanzishwa?
 
Tunasubilia chama tawala kulala mika kuhusu ilo, ila sijui kama Panya atamfunga kengere Paka......:
 
Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.

Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.

Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.

Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Hii ni hatari kubwa. Naona nchi hii sasa imegeuzwa shamba la bibi . Inauma sana.
 
Back
Top Bottom