Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Ruzuku chadema mnapigwa Kila siku pesa hazifiki wilayani Wala mikoani mnapigwa mnakaa Kama bubu hamuongei
Hoja siyo CHADEMA, hoja ni 1.5tr yetu, wala si ya CCM. Ruzuku ya CCM asili mia 90 anakabidhiwa Bashite kwa ajili ya kuteka, kutesa kuua na waganga wa kuwabakiza magogoni. Taja wilaya moja iliyopata ruzuku ya CCM. Halafu sema kama CHADEMA wanahusika vipi na hiyo 1.5tr.

Tuliza mshono
 
Kwa ufupi pesa zetu zimepigwa vibaya,wasilete sababu za kitoto,
Kipindi cha nyuma walipiga kupitia Kampuni inaitwa meremeta,turipohoji,wakasema,hayo matumizi hayahojiki,yanahusu usalama wa Taifa
 
Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.

Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.

Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.

Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Yanafanyika hayo ili sisi tuweze kendelea kupiga porojo humu kwenye Mitandao.
Ukiona unalala na kuamka salama tambua kuna watu hawalali ili wewe upate huo utulivu.
 
Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.

Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.

Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.

Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Ulipoona anatafuta ushauri kwa PK kabla ya yote ungegundua ameamua kutupeleka wapi. Tutakoma kipindi hiki.
 
Sidhani maana hakuna security threat kuba kiasi hiko
Mkuu, hilo ndilo linaloshangaza watu. Kwa nini fedha nyingi namna hiyo zinaenda huko, kwani nchi ina tatizo gani? Na kama ni kweli tunasaidiwa na nchi jirani katika mambo ya Uslama, sidhani kama ni vigumu kutumia Trilioni 1.5
 
mungu fake wa Dar na Ras wa Tabora walikuwa wanashindana kuanzisha vitengo nje ya vitengo.
 
Ulipoona anatafuta ushauri kwa PK kabla ya yote ungegundua ameamua kutupeleka wapi. Tutakoma kipindi hiki.
Hivi ushauri huo haulipiwi "consultancy fe" kweli? Sintashangaa. Kuna wakati walisema wangeleta watalaamu wa IT kutoka huko - lengo kubwa ilikuwa kudadavua watu wanamsema mkulu na serikali kupitia mitandao. Walipogonga mwamba wakashauri zitungwe sheria kufunga watu midomo.

Hivi mnajua ni fedha kiasi gani zinatumika kama consultancy fees kujaribu kuingilia na kupata habari za ndani na mitandao kama JF? Hata wataalamu toka nje wameletwa!
 
Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.

Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.

Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.

Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.

Itakuwa vizuri sana wafadhili kama World Bank, EU na watu kama Bill Gates wapate habari hizi ili wasipoteze fedha zao kwa nchi inayotumia fedha ovyo bila kufuata utaratibu.
 
Back
Top Bottom