Habari zilizotrend kwa mwaka 2024

Habari zilizotrend kwa mwaka 2024

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
  • 10. Kifo cha mtoto albino mkoani Kagera

  • 9.Kutekwa kwa Sativa

  • 8. Msigwa kuhamia ccm

  • 7. Makonda kurudi kwenye mfumo

  • 6. Kifo cha mzee Mwinyi

  • 5. Yanga kuifunga Simba mara 4 mfululizo.

  • 4. Kifo cha mzee Kibao

  • 3. DP world kuanza operation Tanzania

2. ........................................

1. ..........................................
 
10. Kifo cha mtoto albino mkoani Kagera

9.Kutekwa kwa Sativa

8. Msigwa kuhamia ccm

7. Makonda kurudi kwenye mfumo

6. Kifo cha mzee Mwinyi

5. Yanga kuifunga Simba mara 4 mfululizo.

4. Kifo cha mzee Kibao

3. DP world kuanza operation Tanzania

2. ........................................

1. ..........................................
12. Breaking News - Tanzania yaimport watu 333,000,000 kutoka China kuja nchini kutufundisha uendeshaji wa Biashara katita wimbi la Kupoteza muda na kumtumikia Kafiri


Waliopo wanatafuta Biashara ya kutulia na kuendelea na maisha katikati ya Vita vya Hauji kutulia kichwa..


Toa Mbinu za Kusimamisha nchi - Mie Breaking news: Tanzania yaimport wachina 333,000,000 kwa ajili ya kusimamia mitaji na uendeshaji wa biashara Tanzania
 
13.
Breaking News - Tanzania yaimport watu 333,000,000 kutoka China kuja nchini kutufundisha uendeshaji wa Biashara katita wimbi la Kupoteza muda na kumtumikia Kafiri


Waliopo wanatafuta Biashara ya kutulia na kuendelea na maisha katikati ya Vita vya Hauji kutulia kichwa..


Toa Mbinu za Kusimamisha nchi - Mie Breaking news: Tanzania yaimport wachina 333,000,000 kwa ajili ya kusimamia mitaji na uendeshaji wa biashara Tanzania
 
  • 10. Kifo cha mtoto albino mkoani Kagera

  • 9.Kutekwa kwa Sativa

  • 8. Msigwa kuhamia ccm

  • 7. Makonda kurudi kwenye mfumo

  • 6. Kifo cha mzee Mwinyi

  • 5. Yanga kuifunga Simba mara 4 mfululizo.

  • 4. Kifo cha mzee Kibao

  • 3. DP world kuanza operation Tanzania

2. ........................................

1. ..........................................
7 na 8 ziondoe
 
Rodry kushinda tuzo ya Ballon dor ni kitu Cha ajabu sana na Ile issue ya kuporomoka gorofa karikoo na Mimi ni mzee wa under ground to under ground nikiwa kkoo
 
Back
Top Bottom