kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Alikufa? Kwahiyo amefufuka? Waliokufa familia zao zinahangaika yeye na familia yake kwasasa wanakula vinono hata aibu HanaHakuna maneno mengine huu ndio ukweli japo mchungu ila makamanda waoga sana ushahidi anao Lissu!View attachment 2078897
Tundu Lissu bila uokozi Toka juu mbinguni Sasa hivi angekuwa Jongomeo acha kujitoa ufahamu.Ni mwenyezi Mungu ndiye aliyemuokoa Tundu Lissu na kifo.Ninyi na shetani wenu aliyewatuma mlishindwa Kwa nguvu za Mungu!Alikufa? Kwahiyo amefufuka? Waliokufa familia zao zinahangaika yeye na familia yake kwasasa wanakula vinono hata aibu Hana
Hao ni wake wenza kwa mumeoHakuna maneno mengine huu ndio ukweli japo mchungu ila makamanda waoga sana ushahidi anao Lissu!View attachment 2078897
Ila mke mwenza wewe un ayaweza sana hayo mambo.Hakuna maneno mengine huu ndio ukweli japo mchungu ila makamanda waoga sana ushahidi anao Lissu!View attachment 2078897
Wewe kama ni mke mwenza wa CCM basi sawaKuna mzee alisema watawala siyo lazima wawe wameshika madaraka tu, bali hata upinzani kuna watawala! Kwa hapa kwetu naona CDM wanalazimisha kuwa watawala wa wapinzani wengine!
Wanashindwa kujifunza, Zitto wamegombana naye 2014, wakamtimua, lakini hadi leo hii wana chuki, husda, wivu na kinyongo juu yake! Wakati huo huo Samia kagombana na Ndugai hadi kumtemesha Uspika, lakini hata wiki 2 hazijapita wameshaitana Ikulu, kila mtu katoa la moyoni, wamesameheana, sasa wanaunganisha nguvu kukijenga chama chao! Stupid CDM
Stupid wewe na wake wenza wenzakoKuna mzee alisema watawala siyo lazima wawe wameshika madaraka tu, bali hata upinzani kuna watawala! Kwa hapa kwetu naona CDM wanalazimisha kuwa watawala wa wapinzani wengine!
Wanashindwa kujifunza, Zitto wamegombana naye 2014, wakamtimua, lakini hadi leo hii wana chuki, husda, wivu na kinyongo juu yake! Wakati huo huo Samia kagombana na Ndugai hadi kumtemesha Uspika, lakini hata wiki 2 hazijapita wameshaitana Ikulu, kila mtu katoa la moyoni, wamesameheana, sasa wanaunganisha nguvu kukijenga chama chao! Stupid CDM
Masheitwan walitaka kunywa damu yake kama kawaida yaoTundu Lissu bila uokozi Toka juu mbinguni Sasa hivi angekuwa Jongomeo acha kujitoa ufahamu.Ni mwenyezi Mungu ndiye aliyemuokoa Tundu Lissu na kifo.Ninyi na shetani wenu aliyewatuma mlishindwa Kwa nguvu za Mungu!
Huo ndiyo ukweli kwa 100%mtu yeyote timamu, hawezi iweka ACT kwenye list ya wapinzani hata kwa bahati mbaya.
Acheni wivu wa kimama, hata kama jahazi linazama pambaneni na hali zenu, siyo mastress yenu mnaenda kuyamalizia kwa ZittoWewe kama ni mke mwenza wa ccm basi sawa
Sijui umemkwapua nani smartphone ili uchungulie hiyo tweetHakuna maneno mengine huu ndio ukweli japo mchungu ila makamanda waoga sana ushahidi anao Lissu!View attachment 2078897
Mkutano wa baraza kuu lini? Au hadi Mbowe atoke?Stupid wewe na wake wenza wenzako
Wewe mwenyewe ni mke mwenzaAcheni wivu wa kimama, hata kama jahazi linazama pambaneni na hali zenu, siyo mastress yenu mnaenda kuyamalizia kwa Zitto
Siku jiwe akirudiMkutano wa baraza kuu lini? Au hadi Mbowe atoke?