kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Jibu hoja naona una mbwela mbwela!Hao ni wake wenza kwa mumeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja naona una mbwela mbwela!Hao ni wake wenza kwa mumeo
Ni wake wenza wenzako na tunakushukuru sana leo maana umeamua kuvunja ukimyaJibu hoja naona una mbwela mbwela!
Punguza jazba yanazungumzika!Stupid wewe na wake wenza wenzako
Usiweke hadharani kibarua chako!Sijui umemkwapua nani smartphone ili uchungulie hiyo tweet
Nakuona mke mwenza wa kina mdeePunguza jazba yanazungumzika!
Unawaonea wivu!Nakuona mke mwenza wa kina mdee
Mwanzo nilijua kuwa wewe ni mume kumbe ni mke mwenza na kina MdeeUsiweke hadharani kibarua chako!
Nikuonee wivu wewe mke mwenza wa kina Bulaya?[emoji23][emoji23][emoji23]Unawaonea wivu!
Royality ndiyo nini ??CUF ngangari, CUF jino kwa jino wakiwa na ngome yao pele Buguruni na TEMEKE....vijana walijitoa kisawasawa na chama chao, true royality...Kule Pemba na Unguja ndio usiseme, Serikali ilipata taabu haswa..
Wakisema wanaandamana waliandamana kweli bila woga...na ile style yao ya kwenye mafuso na matambara yakitaja matawi yao, walisafiri popote pale kusherehesha shughuli za chama..
Hawa wengine wanajiita makamanda ilihali wako wanaandamana twitani na JF.... wakipigwa mkwara hata na Afande Moroto tu huwaoni popote zaidi ya twita na JF wakilalamika na kujiita makamanda...
Watajua wenyewe wenye kuabudu watu badala ya Mungu wa pekee!Alikufa? Kwahiyo amefufuka? Waliokufa familia zao zinahangaika yeye na familia yake kwasasa wanakula vinono hata aibu Hana
Ujumbe umefika usitafute kosa dogo!Royality ndiyo nini ??
Unawaonea wivu bawacha wenzako wapo bungeni wewe upo nyumbani kuhangaika na vikoba!Nikuonee wivu wewe mke mwenza wa kina Bulaya?[emoji23][emoji23][emoji23]
Swali je ni lini uliandamana kwanini ulipoitwa na Lissu hukumsapoti ?uzandiki wa hali ya juu!Huo ndiyo ukweli kwa 100%
CCM wanauwawa na jeshi kutoka Burundi wakati wa uchaguzi?Tawi kuu la CCM
Swali kwa nini hukutokea Lissu alipoitisha maandamano!Tawi kuu la CCM
Royality ndiyo nini ??
Wewe ni mke mwenza wa kina Mdee....period....Swali je ni lini uliandamana kwanini ulipoitwa na Lissu hukumsapoti ?uzandiki wa hali ya juu!
Mi sijawahi kuona CHADEMA wanamsema Zitto au ACT bali ACT (mfano ni kama hi tweet hapa ) ndio wamekua busy na kuikosoa CHADEMA always, Chadema wao wapo busy na mambo yao tu.Kuna mzee alisema watawala siyo lazima wawe wameshika madaraka tu, bali hata upinzani kuna watawala! Kwa hapa kwetu naona CDM wanalazimisha kuwa watawala wa wapinzani wengine!
Wanashindwa kujifunza, Zitto wamegombana naye 2014, wakamtimua, lakini hadi leo hii wana chuki, husda, wivu na kinyongo juu yake! Wakati huo huo Samia kagombana na Ndugai hadi kumtemesha Uspika, lakini hata wiki 2 hazijapita wameshaitana Ikulu, kila mtu katoa la moyoni, wamesameheana, sasa wanaunganisha nguvu kukijenga chama chao! Stupid CDM
Asante mke mwenza wa kina BulayaUnawaonea wivu bawacha wenzako wapo bungeni wewe upo nyumbani kuhangaika na vikoba!
Michango mzuri sana asubuhi ya leo.Mi sijawahi kuona CHADEMA wanamsema Zitto au ACT bali ACT (mfano ni kama hi tweet hapa ) ndio wamekua busy na kuikosoa CHADEMA always, Chadema wao wapo busy na mambo yao tu.
Sisi kama Watanzania wa kawaida tunamjua ni nani mpinzani kati ya CDM na ACT au Zitto na viongozi wa Chadema