Habari ziwafikie wanachama wote popote walipo

Habari ziwafikie wanachama wote popote walipo

CUF ngangari, CUF jino kwa jino wakiwa na ngome yao pele Buguruni na TEMEKE....vijana walijitoa kisawasawa na chama chao, true loyalty...Kule Pemba na Unguja ndio usiseme, Serikali ilipata taabu haswa..

Wakisema wanaandamana waliandamana kweli bila woga...na ile style yao ya kwenye mafuso na matambara yakitaja matawi yao, walisafiri popote pale kusherehesha shughuli za chama..

Hawa wengine wanajiita makamanda ilihali wako wanaandamana twitani na JF.... wakipigwa mkwara hata na Afande Moroto tu huwaoni popote zaidi ya twita na JF wakilalamika na kujiita makamanda...
Chadomo imeondoka na SLAA
 
Tundu Lissu bila uokozi Toka juu mbinguni Sasa hivi angekuwa Jongomeo acha kujitoa ufahamu.Ni mwenyezi Mungu ndiye aliyemuokoa Tundu Lissu na kifo.Ninyi na shetani wenu aliyewatuma mlishindwa Kwa nguvu za Mungu!
Eti, almwokoa Mungu. Lisu na mungu hapa na wapi?
 
Kweli bado Chadema wapo nyuma sana katika kuwashawishi wanachama wao ,aidha viongozi wa Chadema ni waoga kuliko maelezo ,Tokea Uhai wa maalim Seif sijawahi kusikia kiongozi amekimbia nje ya nchi na kuishi uhamishoni ? Chadema wanazaidi ya mwananchama mmoja aliekimbia nchi, Je wanaweza kurudi ?

ACT nina uhakika wanaweza kufanya kweli kimaandamano ni warithi wa siasa za upinzani zile walizotokea akina Maalim Seif ,lakini hawa wanaojiita makamandaz naona ni maandaziz . Wana nguvu za usemaji nzuri tu ,sijui kwanini wanachama wanakuwa hawawaungi mkono wanapoamua kitu tofauti na ACT.
 
Je na ninyi chama Cha mbogamboga kilichoasisiwa Toka kuzimu,kazi yenu kuua watu , na Mungu wapi na wapi?
CHADEMA, ni chama cha vibaka wanaotafuta kujaza tumbo. Wanachama wake ni hayawani na pungasese kupindukia. Sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Usinihusishe na CCM. Nawaona tu mnavonyukwa na hao mnaowaita mashetani. Mtajibeba.
 
Chadema hamna chama pale!

Tangu wamfanye Gwajima kuwa mshenga wa kumleta Lowasa chamani, wakawa kama kuku aliekatwa kichwa!
 
Kweli bado Chadema wapo nyuma sana katika kuwashawishi wanachama wao ,aidha viongozi wa Chadema ni waoga kuliko maelezo ,Tokea Uhai wa maalim Seif sijawahi kusikia kiongozi amekimbia nje ya nchi na kuishi uhamishoni ? Chadema wanazaidi ya mwananchama mmoja aliekimbia nchi, Je wanaweza kurudi ?

ACT nina uhakika wanaweza kufanya kweli kimaandamano ni warithi wa siasa za upinzani zile walizotokea akina Maalim Seif ,lakini hawa wanaojiita makamandaz naona ni maandaziz . Wana nguvu za usemaji nzuri tu ,sijui kwanini wanachama wanakuwa hawawaungi mkono wanapoamua kitu tofauti na ACT.
Lisu aliposhindwa kwenye urais akahamasisha maandamano nchi nzima ila makamanda yakajificha uvunguni mwa vitanda!

Baadae Lisu akaona haya majamaa vipi? Huyooo kwa amstwerdam
 
Hakuna maneno mengine huu ndio ukweli japo mchungu ila makamanda waoga sana ushahidi anao Lissu!

View attachment 2078897

Uke wenza au kuolewa?. Naona ACT nayo imefuata mkumbo was CCM kuishambulia CHADEMA. Yani mtu akuuwe Halafu kesho akuoe?. Mbona sijaelewa. Yani unaolewa na mtu aliyemuua Dada yako ukiona, Halafu anamuona mzuri . ACT wajirekebishe, 2020 mgombea wa CHADEMA alikuwa na impact Zanzibar kuliko wa ACT.
 
Kuna mzee alisema watawala siyo lazima wawe wameshika madaraka tu, bali hata upinzani kuna watawala! Kwa hapa kwetu naona CDM wanalazimisha kuwa watawala wa wapinzani wengine!

Wanashindwa kujifunza, Zitto wamegombana naye 2014, wakamtimua, lakini hadi leo hii wana chuki, husda, wivu na kinyongo juu yake! Wakati huo huo Samia kagombana na Ndugai hadi kumtemesha Uspika, lakini hata wiki 2 hazijapita wameshaitana Ikulu, kila mtu katoa la moyoni, wamesameheana, sasa wanaunganisha nguvu kukijenga chama chao! Stupid CDM

Stupid CCM. Kusameheana kwenye kosa gani?. Speaker kutoa maoni yake Ni kosa?. Halafu Zitto na CHADEMA hawana uadui, ndio maana Zitto alimuendorse Lissu badala ya Membe kwenye uchaguzi 2020 na juzi kamuomba Rais atoe msamaha wa Mbowe.
 
CUF ngangari, CUF jino kwa jino wakiwa na ngome yao pele Buguruni na TEMEKE. Vijana walijitoa kisawasawa na chama chao, true loyalty. Kule Pemba na Unguja ndio usiseme, Serikali ilipata taabu haswa.

Wakisema wanaandamana waliandamana kweli bila woga na ile style yao ya kwenye mafuso na matambara yakitaja matawi yao, walisafiri popote pale kusherehesha shughuli za chama.

Hawa wengine wanajiita makamanda ilihali wako wanaandamana twitani na JF wakipigwa mkwara hata na Afande Moroto tu huwaoni popote zaidi ya twita na JF wakilalamika na kujiita makamanda.

Nashukuru umesema buguruni na temeke. Kwingine je?. Halafu ni CUF ipi hii iliyosaidiwa na CCM kupambana na Maalim Seif. CUF ilipata influence kutoka Zanzibar na Maalim seif. Maalim seif angehamia CHADEMA kipindi hicho basi CUF ingekuwa maiti kuliko leo. Halafu ilitokea Nini mpaka CUF ikazidiwa na CHADEMA na hatimaye kupotea?. Mwalimu Nyerere alitoa utabiri chama bora nje ya CCM Ni CHADEMA . Na kweli leo utabiri wake umetimia.

Kuhusu kuandaman, CHADEMA wamendamana Mara ngapi mpaka wakawa wanapigwa mabomu kipindi Cha JK?. Umesahau mauaji ya Arusha Mara mbili Tena. Leo Mwenyekiti yupo ndani kwa kesi ya ugaidi. Tofauti ya CHADEMA na vyama vingine, Ni kujikomba kwa watawala. Yani ACT walivyotarajia na kuibiwa kura wakakubali kuolewa na CCM.
 
Kweli bado Chadema wapo nyuma sana katika kuwashawishi wanachama wao ,aidha viongozi wa Chadema ni waoga kuliko maelezo ,Tokea Uhai wa maalim Seif sijawahi kusikia kiongozi amekimbia nje ya nchi na kuishi uhamishoni ? Chadema wanazaidi ya mwananchama mmoja aliekimbia nchi, Je wanaweza kurudi ?

ACT nina uhakika wanaweza kufanya kweli kimaandamano ni warithi wa siasa za upinzani zile walizotokea akina Maalim Seif ,lakini hawa wanaojiita makamandaz naona ni maandaziz . Wana nguvu za usemaji nzuri tu ,sijui kwanini wanachama wanakuwa hawawaungi mkono wanapoamua kitu tofauti na ACT.

ACT ipi?. Iliyopata kura 2 Ngorongoro?. Tatizo ACT imeegemea kwa watu sio taasisi. Siku Viongozi wakivirugana ndio mwishoo wake. Tofauti na CHADEMA imeshakuwa taasisi wameondoka makatibu wakuu wawili, naibu katibu mkuu wa chama lakini CHADEMA bado Ni strong. Kikwazo kwa CHADEMA Ni dola basi. Dola imeifustrate CHADEMA Sana.
 
Uke wenza au kuolewa?. Naona ACT nayo imefuata mkumbo was CCM kuishambulia CHADEMA. Yani mtu akuuwe Halafu kesho akuoe?. Mbona sijaelewa. Yani unaolewa na mtu aliyemuua Dada yako ukiona, Halafu anamuona mzuri . ACT wajirekebishe, 2020 mgombea wa CHADEMA alikuwa na impact Zanzibar kuliko wa ACT.
Yaani Tundu lissu amzidi maalim seif zanzibar?
 
Back
Top Bottom