Habari ziwafikie wanachama wote popote walipo

Royality ndiyo nini ??
 
Mi sijawahi kuona CHADEMA wanamsema Zitto au ACT bali ACT (mfano ni kama hi tweet hapa ) ndio wamekua busy na kuikosoa CHADEMA always, Chadema wao wapo busy na mambo yao tu.
Sisi kama Watanzania wa kawaida tunamjua ni nani mpinzani kati ya CDM na ACT au Zitto na viongozi wa Chadema
 
Michango mzuri sana asubuhi ya leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…