Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Watu wa Soka,
Taarifa iwafikie kuwa Mshambuliaji wetu Habib Haji Kyombo yuko huru kujiunga na timu yoyote baada ya kuamua kuvunja mkataba na timu yetu.
Kila kitu kimeenda sawa na kupitia yeye tunatarajia kujenga mahusiano imara na klabu atakayoenda.
Aidha, tutatoa taarifa zaidi kuhusu maboresho tuliyoyafanya kwenye safu yetu ya ushambuliaji hivi karibuni.
Tunamtakia Habib Haji Kyombo kila la kheri katika safari yake ya Soka.