Anajulikana siku nyingi. Amejipa mpaka ''tuzo'' za wandishi bora Afrika. Jamaa ni laghai na hawezi kuandika hata sentensi moja kwa kiingereza kilichonyooka. Tunajua ni tapeli siku nyingi lakini ila sasa hivi tunataka kuanika ni watu wa aina gani waliomzunguka na kumtetea Mbowe.Leo ndio mmejua Yericko ni kanjanja tu??
Hii ndio sauti ya Habibu Anga?Kumbe Yericko Nyerere na makaratasi yake yale anayoyaita vitabu anaibaiba kazi za watu na kujifanya msomi mshauari wa Mbowe wa kumtukana ovyo Lissu.
Genge linalomuunga mkono Mbowe ni la watu wa ajabu ajabu ndio maana Leo Prof Safari na watu wengine wa maana wako wapi CHADEMA?
Leo washauri wa Mwenyekiti Mbowe ni Yericko, Boni Yai na Ntobi kweli chama Kiko ICU.
View attachment 3187554
View attachment 3187555
View attachment 3187556
View attachment 3187558
Anachuma bamiaYericko Nyerere njoo huku ujibu shutuma
Habibu Hanga huyuhuyu anayelalamikiwa humu kwa Utapeli?Kumbe Yericko Nyerere na makaratasi yake yale anayoyaita vitabu anaibaiba kazi za watu na kujifanya msomi mshauari wa Mbowe wa kumtukana ovyo Lissu.
Genge linalomuunga mkono Mbowe ni la watu wa ajabu ajabu ndio maana Leo Prof Safari na watu wengine wa maana wako wapi CHADEMA?
Leo washauri wa Mwenyekiti Mbowe ni Yericko, Boni Yai na Ntobi kweli chama Kiko ICU.
View attachment 3187554
View attachment 3187555
View attachment 3187556
View attachment 3187558
Yule jasusi ujue??Leo ndio mmejua Yericko ni kanjanja tu??