Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #81
Hakika umenena vema@Kama ana refer kwenye google tatizo liko wapi,humu kila mtu ana level yake ya kielimu,wengine kingereza kinapanda,wengine cha kuungaunga,wengine cha kuombea maji na wengine hawajui kabisa kingereza ,sasa kama anatokea mtu anawasimulia maswala kama haya sioni makosa.
Haaswaaaa mkuu upo sahihiHata kama ukiwa mtu wa kusoma sana,ila huwezi ukasoma kila kitu so kupitia watu kama kawa wanakuongezea kitu hata kama kacopy kutoka kwenye Google.Ila si shangai hii ndio JF kuna watu wapo kwa ajili ya Ku-discourage watu cha msingi ni kuwapuuza kama WAPUUZI wengine.
Amekuruhusu lakini kutoa jina lake?Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Ndugu zangu Watanzania huyu Habibu B. Anga (The Bold) Mungu ampe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate his writings here on JF. I wish him all the best.
Ninapenda kutumia wasaa huu kutuma salama zangu za pongezi pamoja na heartfelt appreciation kwa ndugu yangu Habibu B. Anga kwa makala zake nzuri sana humu JF ambazo honestly nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana mema na mazuri ambayo nilikuwa sijawahi kuyafahamu hapo kabla.
Mimi pia ni muandishi wa makala kule jukwaa la Jamii Intelligence ila Habibu B. Anga anajua sana kusimulia na kupangilia story zake. Kwa kweli ananikosha sana.
Mkuu, endelea kutupa ladha pasipo kuchoka.
Long live Habibu. Long live JamiiForums.
Kama mtu ana uwezo mkubwa anastahili pongezi, credit pamoja na appreciationAmekuruhusu lakini kutoa jina lake?
Ulitaka iweje sasa?Amekuruhusu lakini kutoa jina lake?
Mkuu tunakushukuru sana sana Kwa kutuamsha na kutufunza bila kujali haters wanaongea nini.Be blessed comrade.Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo.
Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra.
Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu.
Naamini siku moja mbegu tunayoipanda itamea maua mema sana kwenye jamii yetu.
Cheers Comrade.
Mkuu tunakushukuru sana sana Kwa kutuamsha na kutufunza bila kujali haters wanaongea nini.Be blessed comrade.
🙏🙏 AmenPamoja sana mkuu.. Cheers
Well saidMkuu tunakushukuru sana sana Kwa kutuamsha na kutufunza bila kujali haters wanaongea nini.Be blessed comrade.
What about JPM?The BOLD IS THE BEST I HAVE!!!
Amen comrade 🙏 🙏Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo.
Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra.
Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu.
Naamini siku moja mbegu tunayoipanda itamea maua mema sana kwenye jamii yetu.
Cheers Comrade.
Amen🙏Some people were born for the people. The Bold ni zawadi kubwa hapa JF. Mungu amlinde kwa kweli
Cheers. One love.Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo.
Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra.
Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu.
Naamini siku moja mbegu tunayoipanda itamea maua mema sana kwenye jamii yetu.
Cheers Comrade.
Hakika mkuu. He deservesThe BOLD IS THE BEST I HAVE!!!
You're warmly welcomeNgoja nijaribu kuwa mdau wa jamii intelligence.