Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

Hongera kwake.. kazi nzuri.
Sijui hiyo kazi yake huwa anatafuta hela tu au anamengine maana anafahamu vitu si mchezo..
Jamaa ana passion na kazi yake.

Tumebaki sasa makomamanga ambao huwa hata hatutwajwi si kwenye lolote..😅
Nimeamini kwenye msafara wa mamba na kenge wamo..😂
Habibu The Bold anajua. Ninatamani sana kuwa kama yeye siku moja
 
Back
Top Bottom