Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #161
Habibu The Bold anajua. Ninatamani sana kuwa kama yeye siku mojaHongera kwake.. kazi nzuri.
Sijui hiyo kazi yake huwa anatafuta hela tu au anamengine maana anafahamu vitu si mchezo..
Jamaa ana passion na kazi yake.
Tumebaki sasa makomamanga ambao huwa hata hatutwajwi si kwenye lolote..😅
Nimeamini kwenye msafara wa mamba na kenge wamo..😂