sema meta na facebook yao wameweka vulnerability kubwa ya kuhackiwa na kuibiwa taarifa, wanatunza location, namba za simu, na taarifa muhimu kwa kutumia codes na security nyepesi sana.Dah Kuna link siku hizi wakenya wanatengeneza uki click tu unakuwa directly hacked
Nadhani mkuu, def ex huyu atakua anaikubali sana python maana jina lake tu limekaa kipython python 😂😂haha sawa mkuu itakuwa technical error nilidhani ni wewe, nahisi basi atakuwa ni def ex
Wanazingua sana but hapa JF wanajitahidi mnosema meta na facebook yao wameweka vulnerability kubwa ya kuhackiwa na kuibiwa taarifa, wanatunza location, namba za simu, na taarifa muhimu kwa kutumia codes na security nyepesi sana.
😂 Hackers wengi ni anonymousHackers wa bongo ni kwenye keyboard tu.
Kwahiyo na wewe kumbe ni script kiddies hah... Fanya tuicode ya kwetu mkuu.Mimi natafuta tool ya kutrack simu kwa kutumia IMEI number
bongo kuna nerds na geeks (wapenda hacking) ila level zetu za kuhack zipo chini, mtu anajiita hacker unamwambia nakupa details zangu kadhaa nataka uhack PC yangu anashindwa.Hackers wa bongo ni kwenye keyboard tu.
😂Nimesoma Ethical hacking tu ila sijawahi jifunza tool ya kutrack simu ilipoKwahiyo na wewe kumbe ni script kiddies hah... Fanya tuicode ya kwetu mkuu.
ni kweli lakini wanafanya nini zaidi ya kuhack fb akaunti na kutupostia misaada feki na ponograph.?😂 Hackers wengi ni anonymous
😂 Tanzania Computer Scientist,IT na wengi related wanaishia studio tu na stationarybongo kuna nerds na geeks (wapenda hacking) ila level zetu za kuhack zipo chini, mtu anajiita hacker unamwambia nakupa details zangu kadhaa nataka uhack PC yangu anashindwa.
Ndio maana nikasema hapa bongo ni miyeyushobongo kuna nerds na geeks (wapenda hacking) ila level zetu za kuhack zipo chini, mtu anajiita hacker unamwambia nakupa details zangu kadhaa nataka uhack PC yangu anashindwa.
kuhack ethically ndio maana nasema unakuwa shallow sana cheki sasa hata kutrack simu tu hujajua bado hahaha.Nimesoma Ethical hacking tu ila sijawahi jifunza tool ya kutrack simu ilipo
Ila wanapiga mpunga mrefu mno Kuna kitu kinaitwa Carding aise kinawalipani kweli lakini wanafanya nini zaidi ya kuhack fb akaunti na kutupostia misaada feki na ponograph.?
Wewe unafaham Mimi nipo based kwenye programming not hacking but I have learned hackingkuhack ethically ndio maana nasema unakuwa shallow sana cheki sasa hata kutrack simu tu hujajua bado hahaha.
Wewe ni black or whiteWhite hat hackers aren't scammer or thief's wapo kwasababu ya kulinda na kuhakikisha everyone on the internet is safe
Andika exploit yako mkuu ili hiyo tool itokee kwako😅😅😂Nimesoma Ethical hacking tu ila sijawahi jifunza tool ya kutrack simu ilipo
😂😂😂Duh most hackers wanatumia tools made by other great hackersAndika exploit yako mkuu ili hiyo tool itokee kwako😅😅
Huwa wanapata wapi access ya kuchungulia akaunti za watu na kujua kuwa kuna mihamala imeingia,na namba za simu wanazipataje?😂Wale sio hackers kwanza ni matapeli wa mitandao scammers
Wanabuni mara nyingiHuwa wanapata wapi access ya kuchungulia akaunti za watu na kujua kuwa kuna mihamala imeingia,na namba za simu wanazipataje?