Hackers tukutane hapa!

Hackers tukutane hapa!

😂😂😂Wee Tanzania ni kosa la kisheria kuwa black hat hackers
Hayo maadili ya kuwa white hayapooo, Kila hacker ni white akiwa kwenye public ila akijifungia ghetto ni fedhuli😂😂😂 ni sawa na wewe tu mleta mada.... Hivi Gray huwa wapo kweli?
 
Hayo maadili ya kuwa white hayapooo, Kila hacker ni white akiwa kwenye public ila akijifungia ghetto ni fedhuli😂😂😂 ni sawa na wewe tu mleta mada.... Hivi Gray huwa wapo kweli?
Unaongelea grey ambao ni combination ya white hat na black hat at the same time ila mtu ukiwa Ethical hacker wewe ni white hat
 
Mkuu itakua umenifananisha, sijawahi kuhackiwa Instagram yangu and hata wakiihack sitahangaika nayo coz haina cha maana wala.
haha sawa mkuu itakuwa technical error nilidhani ni wewe, nahisi basi atakuwa ni def ex
 
Back
Top Bottom