Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #21
Project ya wa Israel hiyo wanahack Journalist hao, activist na wanasiasaPegasus project kuna anaeielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Project ya wa Israel hiyo wanahack Journalist hao, activist na wanasiasaPegasus project kuna anaeielewa
Hayo maadili ya kuwa white hayapooo, Kila hacker ni white akiwa kwenye public ila akijifungia ghetto ni fedhuli😂😂😂 ni sawa na wewe tu mleta mada.... Hivi Gray huwa wapo kweli?😂😂😂Wee Tanzania ni kosa la kisheria kuwa black hat hackers
Unaongelea grey ambao ni combination ya white hat na black hat at the same time ila mtu ukiwa Ethical hacker wewe ni white hatHayo maadili ya kuwa white hayapooo, Kila hacker ni white akiwa kwenye public ila akijifungia ghetto ni fedhuli😂😂😂 ni sawa na wewe tu mleta mada.... Hivi Gray huwa wapo kweli?
Yeah, ni ngumu kumkuta mtu anajiterm kama gray, huwa ni nini shida?Unaongelea grey ambao ni combination ya white hat na black hat at the same time ila mtu ukiwa Ethical hacker wewe ni white hat
LOIChackers wa tz ni ile hela tuma kwenye namba hii
Sometimes ukijulikana ni black haileti picha nzuri kwenye society wanakuterm kama mwizi hivi,tapeli nkYeah, ni ngumu kumkuta mtu anajiterm kama gray, huwa ni nini shida?
[emoji23]hawa ni basic level hackers wanautumia kutapelihackers wa tz ni ile hela tuma kwenye namba hii
😂Wale sio hackers kwanza ni matapeli wa mitandao scammers[emoji23]hawa ni basic level hackers wanautumia kutapeli
mkuu wale hackers walihack instagram yako vipi ulifanikiwa kuirudisha.Yeah, ni ngumu kumkuta mtu anajiterm kama gray, huwa ni nini shida?
Wengi ni script kiddieshackers wa tz ni ile hela tuma kwenye namba hii
Kumbe Kuna watu wanapigwa na hawasemi wasaidiwe humumkuu wale hackers walihack instagram yako vipi ulifanikiwa kuirudisha.
Ni kweli, ila kuna wanaojua mbinu chache za hacking, mfano anatuma sms kuwa kuna mtu kakosea kakutumia hela so ubonyeze hivi na vile then ukibonyeza hela yote wanakomba.Wale sio hackers kwanza ni matapeli wa mitandao scammers
Mimi natafuta tool ya kutrack simu kwa kutumia IMEI numberWengi ni script kiddies
Mkuu itakua umenifananisha😂😂😂 sijawahi kuhackiwa Instagram yangu and hata wakiihack sitahangaika nayo coz haina cha maana wala.mkuu wale hackers walihack instagram yako vipi ulifanikiwa kuirudisha.
😂😂😂Hao hwajui hata kutumia Linux tuWachoma cd wa Tanzania na waingiza nyimbo kwenye flash hujiita hackers.
wengi sana me watu wangu wa karibu kama 10 wamehackiwa akaunti za facebook na instagram tena kizembe tu. Wanazichukua wanawaimpersonate.Kumbe Kuna watu wanapigwa na hawasemi wasaidiwe humu
Dah Kuna link siku hizi wakenya wanatengeneza uki click tu unakuwa directly hackedwengi sana me watu wangu wa karibu kama 10 wamehackiwa akaunti za facebook na instagram tena kizembe tu. Wanazichukua wanawaimpersonate.
haha sawa mkuu itakuwa technical error nilidhani ni wewe, nahisi basi atakuwa ni def exMkuu itakua umenifananisha, sijawahi kuhackiwa Instagram yangu and hata wakiihack sitahangaika nayo coz haina cha maana wala.