sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
Ebu fafanua mkuu Ni app au nifanyaje nipate passwordAir Crack ng
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu fafanua mkuu Ni app au nifanyaje nipate passwordAir Crack ng
Guido alipata msukumo kutoka kwenye kipindi cha vichekesho cha Uingereza kiitwacho Monty Python's Flying Circus... Kilikua ni kipindi chake pendwa so nae akaamua kuita jina hilo hiyo language.haina uhusiano na chatu ila iliitwa hivyo sababu mwanzilishi wake alitaka jina la hio language liwe fupi na la kipekee, wakati anasoma vijitabu vya vichekesho vinavyoitwa Python akaona jina "Python" linafaa.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Kuiba taarifa za kadi ya benki unawapa password mwenyewe na namba ya card yako wanaofanya yao
Sanasana nimetumia kwenye Kali Linux inahitaji ujue coding na commandEbu fafanua mkuu Ni app au nifanyaje nipate password
Kuna vitu wangeacha watu wajishughulikie wenyewe au wangeongeza wigo kama hiyo ya kutrack simuIla police wanazingua sana kwenye kushughulikia suala lako bila ela it's nothing
ndio maana nikasema ni basic level mkuuHiyo ujanja mdogo sana hata wewe unaweza kufanya wanakuzubaisha na maneno tu anakwambia andika *150*00#,kisha bonyeza 1 ila ambayo ni tuma hela,ikifika kwenye kuweka namba ya simu wanaitoa sifuri ya kwanza ili usijue kwa mfano andika 69375054- wewe utaandika,na kwenye kuandika kiasi atakwambia uanze na sifuri ili usijue kwamba ni pesa kwa mfano atakwambia andika 0550000 hii ni laki tano na hamsini hiyo sifuri ya nyuma haina kazi yoyote ukishaandika hivyo anakwambia bonyeza okay kisha weka namba ya siri kisha bonyeza okay utakuwa umemtumia hela tena kizembe kabisa
Unakutana na website ili u view content zao please add your credit card number password wamemaliza au unapokea email umeshinda pesa ukituma tu taarifa wamemalizaDuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!
Sasa mtu anatoaje taarifa zake mwenyewe
Kuna software/tool ipo kwenye linux jina , unatengeneza access point inafanana na hio hio wi-fi halafu unafanya de-auth, yaani una kata connection kati ya hio wi-fi na devices zote zilizopo hayo maeneo, access point yako inabaki active, halafu wataona wi-fi yako wakidhani ni ya kwao, hivyo mwenye password ataingia kwenye wi-fi yako na kueka password, then utaziona kwenye dashboard password zilizowekwa...Kuna wi-fi ya taasisi apa sina password msaada wa kuipata
Kuna wapuuzi walinihack social media acc zangu wakawa wanataka bitcoin za usd 500 ili waziachie.White hat hackers mpo wapi?
Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
Njia ya kizamani hii, sku hizi hawapo hukoUnakutana na website ili u view content zao please add your credit card number password wamemaliza au unapokea email umeshinda pesa ukituma tu taarifa wamemaliza
Fanya Ivo mkuuKuna software/tool ipo kwenye linux jina , unatengeneza access point inafanana na hio hio wi-fi halafu unafanya de-auth, yaani una kata connection kati ya hio wi-fi na devices zote zilizopo hayo maeneo, access point yako inabaki active, halafu wataona wi-fi yako wakidhani ni ya kwao, hivyo mwenye password ataingia kwenye wi-fi yako na kueka password, then utaziona kwenye dashboard password zilizowekwa...
nikupatie hio tool?
Sasa mbona mimi hawatanipata kwa mtindo huoUnakutana na website ili u view content zao please add your credit card number password wamemaliza au unapokea email umeshinda pesa ukituma tu taarifa wamemaliza
Au iPhone 16 inauzwa 150k unataka kununua umeenda
Mkuu nahsi itakusumbua tu, inatumia command mwanzo mwisho na inabidi uwe na linux distribution kama kali au ubuntu i think...Fanya Ivo mkuu
Wanafanye sku iziNjia ya kizamani hii, sku hizi hawapo huko
Mkuu nahsi itakusumbua tu, natumia command mwanzo mwisho na inabidi uwe na linux distribution kama kali au ubuntu i think...
Amna shida boss lakini ni vyema kuwa protected on WhatsApp nunua tick for safety purpose au tumia telegram for important issues kwasababu ni encrypted Whatsapp wanatudanganya it's not encrypted in anything ndio maana tukichat Whatsapp kuhusu Simu mpya unakutana na ads FB au Instagram ya simu inauzwaKuna wapuuzi walinihack social media acc zangu wakawa wanataka bitcoin za usd 500 ili waziachie.
Namna walovyonihack ilikuwa vigumu kujua kuwa ule ulikuwa ni mtego, kweri hakers wako mbele hatua kadhaa kabla ya raia wengine kujua.
Huwa nataka kuleta uzi humu wa jinsi walivyonihack najikuta mvivu wa kuanzisha thread.
Nikiandika hiyo thread ntakutag mkuu
Most hackers best programmers were self taught soma network kwanza uielewa kama unataka kujifunza hackingHivi haya mambo mtu anaweza kujifunza mqenyewe tu bila kwenda nyuoni huko kusoma na kama inawezekana, nifanyeje?
Kweli kbs Every ethical hacking is done on Linux (Kali Linux)Mkuu nahsi itakusumbua tu, inatumia command mwanzo mwisho na inabidi uwe na linux distribution kama kali au ubuntu i think...