Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitanda...
Naunga mkono hoja.

Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali sio wanaotembea mitaani. Ofisi za kueleweka hata hvyo watu wengi wameshajisajili hakuta kuwa na foleni. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu moja ya mnyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
 
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Majeshi yetu yangewekeza nguvu zao huku...
 

Attachments

Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Majeshi yetu yangewekeza nguvu zao huku...
 

Attachments

Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Majeshi yetu yangewekeza nguvu zao huku...
 

Attachments

Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Majeshi yetu yangewekeza nguvu zao huku...
 

Attachments

Changamoto ni applications zilizoko play store. Mie mekacha tumia zinazohusiana na miamala ya fedhaa hakyii ya Murungu/Ruwa/Allah/Jehova .....



Simu akiibamba tuu IT alokomtaanii hata two ways verification anafanya duh
 
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Majeshi yetu yangewekeza nguvu zao huku...
Audio zenyewe hamna kitu mkuu
Ma IT wa JF pls msaada tutani mimi huku si mjuzi kabisa labda kwenye tunguli
20240917_043556.jpg
 
Hapana kwakweli, hao ni wale vijana wazembe shuleni. Mimi kuna kijana alikuja nyumbani alikaa kama week, kumbe wameitana na vijana wenzake wanamlipa anaingilia mfumo wa chuo anabadili marks. Alafu ni kidogo tu 20s
Hii nchi imeoza
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Sikiliza voice note hizi
Duu matapel kila kona
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
Mwingine kapigwa ml 5.3.
 
Back
Top Bottom