Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Napenda sana IT, lakini vijana wanaichafua. Alafu wao ukikuta wanapiga story hadi wanatambiana uwezo wa hacking, sasa sijui hawaelewi kama ni kosa linalopelekea kifungo cha maisha
IT man hatakiwi kuwa muoga, muda wote uko ni ku focus. Huwezi kuwa security systems mzuri bila kuwa Black hacker mzuri.

Mfano mzuri ni ma IT wa Google
 
20240918_083705.jpg
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
Niliibiwa simu yangu, wezi wakabadikisha password zangu na kuiba hela.

Hadi Leo makampuni ya simu yameshindwa kuelewa pin zangu za.M Pesa na Tigo Pesa zilibadiloshwaje?

Wanashirikiana na watu wa makampuni ya simu
 
Huu usajili wa line unafanyika kiolela mno kupitia freelancers, kwenye miamvuli au vibanda vya ajabu ajabu. Hata utoaji wa huduma za miamala ya kifedha kupitia mitandao ya simu pia ufanyika Kiolela bila kufuata taratibu mfano mtoa huduma kuwa na leseni au ofisi inayoeleweka ambapo alitakiwa pia alipe kodi stahiki. Hii upelekea wananchi wengi kutapeliwa na kulizwa pesa zao.
 
Huu usajili wa line unafanyika kiolela mno kupitia freelancers, kwenye miamvuli au vibanda vya ajabu ajabu. Hata utoaji wa huduma za miamala ya kifedha kupitia mitandao ya simu pia ufanyika Kiolela bila kufuata taratibu mfano mtoa huduma kuwa na leseni au ofisi inayoeleweka ambapo alitakiwa pia alipe kodi stahiki. Hii upelekea wananchi wengi kutapeliwa na kulizwa pesa zao.
Mimi ndio maana nilitaka kusajiri laini naenda sehemu inayoeleweka na nilitaka kutoa pesa naenda tigopesa au m pesa inayoeleweka
 
Hapana kwakweli, hao ni wale vijana wazembe shuleni. Mimi kuna kijana alikuja nyumbani alikaa kama week, kumbe wameitana na vijana wenzake wanamlipa anaingilia mfumo wa chuo anabadili marks. Alafu ni kidogo tu 20s
Labda hicho chuo cha juu ya ghorofa huku chini fremu na vyumba vya kuishi wapangaji.

Chuo chenye strong system kama UDSM, MZUMBE, DARTU, SUA ama UDOM huwezi kuingilia mfumo wa SARIS.
 
Labda hicho chuo cha juu ya ghorofa huku chini fremu na vyumba vya kuishi wapangaji.

Chuo chenye strong system kama UDSM, MZUMBE, DARTU, SUA ama UDOM huwezi kuingilia mfumo wa SARIS.
Wewe ndio boya kweli hukusikia mwezi uliopita UDSM na IFM

Wakishtaki wanafunzi waliingilia mfumo wa matokeo na kubadilisha.

Vijana wasasa wamezaliwa na technolojia ni watundu sana
na huko baada ndio itazidi kama Nigeria "Yahoo boys "
 
Wewe ndio boya kweli hukusikia mwezi uliopita UDSM na IFM

Wakishtaki wanafunzi waliingilia mfumo wa matokeo na kubadilisha.

Vijana wasasa wamezaliwa na technolojia ni watundu sana
na huko baada ndio itazidi kama Nigeria "Yahoo boys "
Yule jamaa alikuwa ni hatari, mwamba anategua supp, anakulipia ada, anategua retake yaani ni ww, anakutengezea GPA unayotaka, kikubwa maelewano tu
 
bora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki jna mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha kwanza mana kwa polic za huku zilivyo unaweza toa taalifa end the wiki ukawekwa ndan ww kwa kosa la uchochez c mnakumbuka jamaa walivyo mstak jilan yao wakidai hawajui kaz yake wana waswas nae end the day kumbe jamaa anabet kibao kikageuka awap bora nikae kimya nile maisha ngoja nikamuombe m8 jamaa yangu niend sauth mana nisharopoka wasije wakanibana kwa nia ya kutaka wakapate ulaji huku ukiambiwa uzalendo
 
Back
Top Bottom