Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Halafu kuna hizi app za mikopo
Unajisajiri hadi mwisho wanakwambia imeshindikana. Wakati huo wameshachukua taarifa zako zote, namba ya NIDA, wana access ya phone book, calls, SMS, location
 

Ni kama kwenye lile tambara la Leonardo Di Caprio la catch me if you can..
Baada ya mwamba kukichafua sana Ilibidi serikali imuajiri kusaidia nchi ktk kung'amua hiyo michezo ya wajuba....ila Kwa sisi hapa watakufunga au hata hawatajisumbua kutafuta Kwa uzembe walionao
Wenzetu ni akili kubwa
Hicho kilichofanyika hapo sio hacking...ni uzembe pia wa muhusika..lakini kama alisajiliwa line na aliyemuibia...inawezekana kabisa kumshika..Tena mapema sana
Bila ujuzi huwezi kufanya hayo mambo
Halafu kuna hizi app za mikopo
Unajisajiri hadi mwisho wanakwambia imeshindikana. Wakati huo wameshachukua taarifa zako zote, namba ya NIDA, wana access ya phone book, calls, SMS, location
Hatuko salama kwa asilimia kubwa sana
 
Labda hicho chuo cha juu ya ghorofa huku chini fremu na vyumba vya kuishi wapangaji.

Chuo chenye strong system kama UDSM, MZUMBE, DARTU, SUA ama UDOM huwezi kuingilia mfumo wa SARIS.
Udsm which 🤣🤣🤣 wewe unavyoshindwa kuogelea ukisema kina kirefu, wenzako wanaoga wakichekelea
 
Back
Top Bottom