Mbuzingombe
JF-Expert Member
- Apr 14, 2024
- 353
- 828
Mkuu huku sio salama sana, unaweza kukutana na eagle wing muda sio mrefu, ukawaonyeshe huyo mwamba anaeprint mbongo,bora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki na mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha
Sasa kama ilikuwa unataninia, ukitoka salama mshukuru Mungu,