Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

bora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki na mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha
Mkuu huku sio salama sana, unaweza kukutana na eagle wing muda sio mrefu, ukawaonyeshe huyo mwamba anaeprint mbongo,

Sasa kama ilikuwa unataninia, ukitoka salama mshukuru Mungu,
 
bora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki na mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha
Wewe kubinywa kende kunasogelea kwa Kasi kwa kutafuta sifa za kipumbavu
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Shukraan
 
Hicho kilichofanyika hapo sio hacking...ni uzembe pia wa muhusika..lakini kama alisajiliwa line na aliyemuibia...inawezekana kabisa kumshika..Tena mapema sana
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Hawa wanaotembea na vizibao vya makampuni ya simu wengi wao ni wezi, ushaidi ninao! Nashangaa kwa nini makampuni ya simu yanaaendelea kuwa na hawa watu. Halafu cha ajabu wakishakuibia ukifata taratibu zote za kuripoti katika mamlaka husika bado kampuni ya simu husika haitoi ushiriakiano wa kutosha. Unabaki kujiuliza hawa vijana (wezi) wanajuana na watu wa ndani wa kampuni husika ya simu?
 
Wengi humu mnasema hao jamaa waliolamba hela za huyo dada ni simple kukamatwa lakini kukamatwa how hamsemi.

Ukweli mchungu ni kwamba hacking ni sanaa na ni kama mchezo ambao unachora ramani yako nzuri tu jinsi ya kuingia na jinsi ya kufuta njia zote zitazosababisha ukamatwe yani unafanya uhalifu bila kuacha alama yoyote nyuma.

NA ndo maana huyo dada ukienda kwenye system zote za mpesa na bank aliyetoa hela itaonyesha ni yeye kilichofanyika hapo ni kwamba wamebypass line yake kuanzia info na kila kitu kwenda kwenye line nyingine.

Na the moment pale imefika 98% kule kulikuwa na mtu ambae alikuwa na pc alikuwa standby kuanza kufanya transaction ndo maana tunaambiwa siyo safe sana kuwa na mobile banking app au hizi mpesa au tigo pesa app sabab security yake ni ndogo kwani kila unapo log in mara kwa mara kuna leak ya password unaiacha.

Na hapo hata ukisema ufatilie hyo hela iliwekwa kwenye line gani na kutolewa utakuta hiyo line mwenyewe wala hajui kama kuna line ilisajiliwa kwa jina lake au wakitaka kuwa washenzi zaid hizo hela za kwnye account wanaweza hata zinunulia bitcoins kitu ambacho hamtaweza kuwadaka kamwe.
 

Ni kama kwenye lile tambara la Leonardo Di Caprio la catch me if you can..
Baada ya mwamba kukichafua sana Ilibidi serikali imuajiri kusaidia nchi ktk kung'amua hiyo michezo ya wajuba....ila Kwa sisi hapa watakufunga au hata hawatajisumbua kutafuta Kwa uzembe walionao
Wenzetu ni akili kubwa
Hicho kilichofanyika hapo sio hacking...ni uzembe pia wa muhusika..lakini kama alisajiliwa line na aliyemuibia...inawezekana kabisa kumshika..Tena mapema sana
Bila ujuzi huwezi kufanya hayo mambo
 

Ni kama kwenye lile tambara la Leonardo Di Caprio la catch me if you can..
Baada ya mwamba kukichafua sana Ilibidi serikali imuajiri kusaidia nchi ktk kung'amua hiyo michezo ya wajuba....ila Kwa sisi hapa watakufunga au hata hawatajisumbua kutafuta Kwa uzembe walionao
Wenzetu ni akili kubwa
Hicho kilichofanyika hapo sio hacking...ni uzembe pia wa muhusika..lakini kama alisajiliwa line na aliyemuibia...inawezekana kabisa kumshika..Tena mapema sana
Bila ujuzi huwezi kufanya hayo mambo
❤❤❤
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Mkuu Mshana Jr , sidhani hata kama hii ina sifa ya kuitwa ku-hack na hao matapeli wana sifa ya kuitwa hackers au wataalam wa IT. Huyu mama kapigwa kiboya sana. Anyways, serikali kuruhusu usajili wa simu wa mitaani nao ni upumbavu mwingine wa dhahiri. Eti unakuta machinga mtaani wanachukuwa fingerprints za raia zikiandamana na data sensitive kibao. Hii inawezekana Bongo tu.
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Acheni kutumia neno hackers kwenye vitu vya kijinga
 
Mkuu huku sio salama sana, unaweza kukutana na eagle wing muda sio mrefu, ukawaonyeshe huyo mwamba anaeprint mbongo,

Sasa kama ilikuwa unataninia, ukitoka salama mshukuru Mungu,
kwan jf inatumika tanzania tu mi niko rwanda labda ongeen na wahusika wa huku waje wanishike
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Mtani, hili jambo limeachwa tu dada zetu na mama zetu wastaafu wanalizwa kila uchao. Anatoa kadi na password, wengine wanambiwa lete simu nikuunganishe na mange kimambi app, anaweka email na password na yeye anabaki nayo.
 
Back
Top Bottom