Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali sio wanaotembea mitaani. Ofisi za kueleweka hata hvyo watu wengi wameshajisajili hakuta kuwa na foleni. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu moja ya mnyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Napenda sana IT, lakini vijana wanaichafua. Alafu wao ukikuta wanapiga story hadi wanatambiana uwezo wa hacking, sasa sijui hawaelewi kama ni kosa linalopelekea kifungo cha maisha
Naunga mkono hoja.
Kwa sasa makampuni ya simu yabakize mawakala halali. Ingawa hadi mtu apigwe lazima akose umakini kwenye sehemu nyororo wa michakato ya kutapeliwa kwake.
Hapana kwakweli, hao ni wale vijana wazembe shuleni. Mimi kuna kijana alikuja nyumbani alikaa kama week, kumbe wameitana na vijana wenzake wanamlipa anaingilia mfumo wa chuo anabadili marks. Alafu ni kidogo tu 20s
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Sikiliza voice note hizi
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji