Huwaga wanavijiushamba Fulani hivi vya kuwa Serikali na kujiona Wanajua kila Kitu wanapitwa na mengi mnooWatendaji wa umma asilimia kubwa ni waoga sana wa kupokea mabadiliko huwa hawakubali kuendana na muda.
sawa mkuu uzur wenyewe wa kubwa wa huku rwanda wanamjua na wanamtumia kwahy hata wakimleteaga polic ni simu moja toka majuu polc wote wanatawanyika hy ishu huwez ijua mwanarwanda wakawaida ni sis wa ndanindan kweNi ushauri tu Mkuu, kujiepusha na majanga yasiyo ya lazima,
Anabwabwaja tu huyo bwanaMwaka 2022 wajanja waliingilia suasis wakajilipia ada, wakapata ticket ya mtihani. SUA mifumo yao ya kizembe sana.
Mtu ana Disco, anakula boom mwaka mzima sababu system zimefeli kumtoa.
Hapo ni SUA na hayo yamefanyika nikiwa mwanafunzi pale.
Mimi sio IT..ila ni kua huyo muhusika aende kwa meneja wa mtandao husika na polisi akaangalie muhusika aliesajili line hiyo ni nani na team leader wake ni nani...easy.msako unaanzia hapoHow mwana techlonogia?
Sure mkuu wale jamaa watakua wanamtolea udenda sahivi...najua anachozungumza ni uongo..na uongo huo utaziponza balls zake bila sababuHuku unatakiwa kuwa makini, unaweza kujichumia janga ukapotea, au ukasumbua familia kukuuguza,
Utasaidia police shauri yako😅😅Hapana kwakweli, hao ni wale vijana wazembe shuleni. Mimi kuna kijana alikuja nyumbani alikaa kama week, kumbe wameitana na vijana wenzake wanamlipa anaingilia mfumo wa chuo anabadili marks. Alafu ni kidogo tu 20s
Humu ukileta ujuaji unapotea, kuna Wazito wengi wanapita humu,Sure mkuu wale jamaa watakua wanamtolea udenda sahivi...najua anachozungumza ni uongo..na uongo huo utaziponza balls zake bila sababu
sawa mkuu uzur wenyewe wa kubwa wa huku rwanda wanamjua na wanamtumia kwahy hata wakimleteaga polic ni simu moja toka majuu polc wote wanatawanyika hy ishu huwez ijua mwanarwanda wakawaida ni sis wa ndanindan kwe
Kaweka mizikiAudio zenyewe hamna kitu mkuu
Unatafuta kiki utaipata tukwan jf inatumika tanzania tu mi niko rwanda labda ongeen na wahusika wa huku waje wanishike
Yaan yule mzee mpaka leo namchukiaHapo maana yake ulichoandika kilimzidi uwezo. Pengine hata hakuelewa chochote. Lakini mbaya zaidi badala afanye consultation kwa wataalam wenzale wampe Insight aka conclude tu anavyoona yeye.
Anaprint hela?bora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki jna mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha kwanza mana kwa polic za huku zilivyo unaweza toa taalifa end the wiki ukawekwa ndan ww kwa kosa la uchochez c mnakumbuka jamaa walivyo mstak jilan yao wakidai hawajui kaz yake wana waswas nae end the day kumbe jamaa anabet kibao kikageuka awap bora nikae kimya nile maisha ngoja nikamuombe m8 jamaa yangu niend sauth mana nisharopoka wasije wakanibana kwa nia ya kutaka wakapate ulaji huku ukiambiwa uzalendo
Wewe umepuyanga halafu badala utulie bado tena unaendelea kupayuka!
Pengine tunaweza kusema uliropoka tu lakini hii ya kusema "wakubwa wanamtumia" ni mkaa mkali wa moto unajipalia
Anazuga eti ni kwa Mr SlimDogo fala sana...katika kitu hakichekewi ni hicho alichosema
Hatari sana, sms zetu zinasomwa sana na hawa watu, alafu wanafika mbali zaidi wanauza taarifa zetu.Hawa Airtel hovyo kabisa, ndo hawana ushirikiaono na wateja walioibiwa!
waje tu nawangoja nipo nimejaa hapaSure mkuu wale jamaa watakua wanamtolea udenda sahivi...najua anachozungumza ni uongo..na uongo huo utaziponza balls zake bila sababu