Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli

Media zina wengi wa kutangaza..sio yeye peke yake maana halipii airtime.

Ukitaja kujua kwa jiiwe uongozi ni bahati mbaya, tazama zile mbwembwe za kuwa mwenyekiti wa SADC lile promo halikuwa la dunia hii, baada ya kuchomesha, jana kakabidhi kijiti kwa aibu huko uchochoroni Dodoma. Na kwanini alichemsha huko SADC, huko zile nguvu zake za vyombo vya dola, watu wasiojulikana, na kutamkwa jina lake kwa majina manne hakuna, ndio maana akatepeta kama mchicha uliochemshwa.
 
Ukitaja kujua kwa jiiwe uongozi ni bahati mbaya, tazama zile mbwembwe za kuwa mwenyekiti wa SADC lile promo halikuwa la dunia hii, baada ya kuchomesha, jana kakabidhi kijiti kwa aibu huko uchochoroni Dodoma. Na kwanini alichemsha huko SADC, huko zile nguvu zake za vyombo vya dola, watu wasiojulikana, na kutamkwa jina lake kwa majina manne hakuna, ndio maana akatepeta kama mchicha uliochemshwa.
Duh..kwani hujui kama muda umeisha.?.kweli vijana wa chadema mna bahati mbaya.
 
Ukitaja kujua kwa jiiwe uongozi ni bahati mbaya, tazama zile mbwembwe za kuwa mwenyekiti wa SADC lile promo halikuwa la dunia hii, baada ya kuchomesha, jana kakabidhi kijiti kwa aibu huko uchochoroni Dodoma. Na kwanini alichemsha huko SADC, huko zile nguvu zake za vyombo vya dola, watu wasiojulikana, na kutamkwa jina lake kwa majina manne hakuna, ndio maana akatepeta kama mchicha uliochemshwa.
Lakini pia Sina hakika Kama kisukuma ni moja ya lugha za mawasiliano huko SADC
 
Unalosema uchaguz huru ni sawa kabisa. Mambo yanatakiwa yawe wazi rais akosolewe ili wajirekebishe au aingie mwengine. ila swala la kuongezwa mishahara mi binafsi naona halina maana sana. pesa sikuzote haitoshi badala ya kuongeza mishahara watu wa serikali bora hela ifunguliwe taasisi itoe ajira kwa watu wenye elimu ndogo na wanaohangaika kupata kazi.kama wenzetu china uko.
 
Duh..kwani hujui kama muda umeisha.?.kweli vijana wa chadema mna bahati mbaya.

Tunajua sana, mbona wakati alipokabidhiwa alikabidhiwa kwa mbwembwe, na aliyempokea tulimuona, mpaka tukaambiwa bila kuoga tusiingie mjini, kwanini yeye afanye makabidhiano huko uchochoro na bila zile promo alizokabidhiwa nazo? Shubamiit.
 
Unalosema uchaguz huru ni sawa kabisa. Mambo yanatakiwa yawe wazi rais akosolewe ili wajirekebishe au aingie mwengine. ila swala la kuongezwa mishahara mi binafsi naona halina maana sana. pesa sikuzote haitoshi badala ya kuongeza mishahara watu wa serikali bora hela ifunguliwe taasisi itoe ajira kwa watu wenye elimu ndogo na wanaohangaika kupata kazi.kama wenzetu china uko.
Siku ukikuwa utajua why kuongeza mshahara wafanyakazi wako ni muhimu
 
Tunajua sana, mbona wakati alipokabidhiwa alikabidhiwa kwa mbwembwe, na aliyempokea tulimuona, mpaka tukaambiwa bila kuoga tusiingie mjini, kwanini yeye afanye makabidhiano huko uchochoro na bila zile promo alizokabidhiwa nazo? Shubamiit.
Labda hujafatilia tu..mkutano ulifanyika online..sio kwa watu kusafiri
 
Achieni media zitangaze habari zake, uoga wa nini? Au ndio mnaelewa sasa hivi kuwa wananchi hawali ndege wala flyover
nikujibu moja la flyover ili ujione mjinga, sasa ndugu kwa population ya watu ambao nao kutokana na uchumi kuwa mzuri wamenunua magari maana hayatolewi bure hiyo foleni bila kuitengenezea miundombinu ya maana kama flyover unategemea ungekuwa unfika kazini saa ngapi unafanyaje kazi zako kwa kukaa foleni masaa sita kwa siku au maendeleo ya mtu mmoja mmoja unataka uwekewe hela mfukoni ? hayao siyo maendeleo amkeni lissu anawadanganya hana sera za kumkomboa mtanzania ana hazina ya matusi tu
 
nikujibu moja la flyover ili ujione mjinga, sasa ndugu kwa population ya watu ambao nao kutokana na uchumi kuwa mzuri wamenunua magari maana hayatolewi bure hiyo foleni bila kuitengenezea miundombinu ya maana kama flyover unategemea ungekuwa unfika kazini saa ngapi unafanyaje kazi zako kwa kukaa foleni masaa sita kwa siku au maendeleo ya mtu mmoja mmoja unataka uwekewe hela mfukoni ? hayao siyo maendeleo amkeni lissu anawadanganya hana sera za kumkomboa mtanzania ana hazina ya matusi tu
Hapo ndio umekaa umefikiria unaona kabisa hayo ni majibu, sijui una elimu kiwango gani kwa ufikiri huu.
 
Labda hujafatilia tu..mkutano ulifanyika online..sio kwa watu kusafiri

Huko ilikuwa ni online maana kuna Corona, hapa hakuna Corona, mbona hatukuona mubashara akikabidhi kwa kiswahili?
 
Hapo ndio umekaa umefikiria unaona kabisa hayo ni majibu, sijui una elimu kiwango gani kwa ufikiri huu.
wewe ndiyo huna hoja umekalili tu wenzio wakisema maendeleo ya watu na wewe ukakurupuka hapa jf eti unataka maendeleo ya watu
 
wagombea ubunge pia wanasababisha muwapigie watu wa media na kuwatisha wasirushe habari zao??

Tuanzie hapo kwanza.
 
Baada ya October inabidi magufuli aende akawe mwenyekiti wa Kijiji huko chato maana hafai kabisa kua rais wa nchi baada ya miaka 5 ya uhatibifu wa uchumi na maisha ya watz......
 
Kama ako sawa na wagombea ubunge kubalini kufanya nae mdahalo kama muko na hiyo power LISU kamzidi mgombea wenu kwa kila kitu
 
Back
Top Bottom