Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli


Itoshe tu kusema kuwa mtanange wa mwaka huu ni kama mtanange kati ya Mfalme Sauli na Kijana Daudi. Kuna muujiza utatokea hiyo October na Daudi ataapishwa kuwa Mfalme. Na atauweka kwa mara ya kwanza msingi imara wa demokrasia hapa TZ
 
Hakika mkuu
 
JPM chaguo la Mungu
Itoshe tu kusema kuwa mtanange wa mwaka huu ni kama mtanange kati ya Mfalme Sauli na Kijana Daudi. Kuna muujiza utatokea hiyo October na Daudi ataapishwa kuwa Mfalme. Na atauweka kwa mara ya kwanza msingi imara wa demokrasia hapa TZ
 
Magufuri atafute kazi nyingine..Mkwere anachekaaaa
 
Unatapatapa sana, pole
 
Lissu anakera kasema anataka presidential debate na Magufuri...Lugha achague yeye..bwa bwa bwa
 
Wananchi gani hao, au nyie wapiga dili?
 
Kweli comrade..ata kuwatukana wakina mama,shangazi,watumishi ameisha maliza
 
Lissu mmoja ni sawa na meko 30[emoji1][emoji39][emoji111]
 
Acha kujichanganya,atafanya mdahalo na akina Bonna
Kama ako sawa na wagombea ubunge kubalini kufanya nae mdahalo kama muko na hiyo power LISU kamzidi mgombea wenu kwa kila kitu
 
Upuuzi mtupu
 
Utopolo mtupu....tuliza shuzi lako bashite
 
Miongoni mwa watu nisio wapenda Tundu Lisu ni namba moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…