Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli

Watanzania wanajua Rais wao ni JPM nyie wachache mpo,tunawasikiliza kwa mujibu wa demokrasia Ila tunawapuuza
Ni kweli mkuu no wonder uchumi unakuwa kwa kasi sana yaani from 7% to 4% huku nchi ikiwa na deni linalokaribia mapato ya nchi kwa miaka 4
 
Huwa wanapiga picha kwa kuchagua sehemu yenye watu ndio wanazungusha mitandaoni
Dodoma jamaa alikuwa kwenye gari la wazi lakini hakuna mwananchi aliyekuwa na shobo naye vivyo hivyo leo Kahama kapokelewa na Bodaboda.


Tarehe 28/10/2020 ni siku ambayo Jamaa anaenda kuoga aibu.
 
Duh post nyingine unajilaumu kwanini ulifungua.
Nilizani kuna vitu unapima kutoka kwa hawa 2 kumbe ulichoandika unakijua mwenyewe.
 
Wakudadavua
kama Lissu ana hadhi ya ubunge na magu naye yupo kwenye level hiyohiyo kwa mtazamo wako! Basi ni sawa na kutuambia hakuna mgombea wa nafasi ya urais! Fikiri Tena kabla hujatuandikia propaganda mfu hizi!
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.
Mkuu Wakudadavua, kama hana hadhi hiyo kwa nini alikabidhiwa fomu za kugombea nafasi hiyo? Cheo cha uraisi ama Rais ni mtu wa kikatiba, kwa kuwa sifa zake na mchakato wa kumpata unaainishwa kupitia matakwa ya kikatiba.

With due respect to you, sasa unapokuja jukwaa hapa na kutoa hoja zisizokuwa na mashiko, ndipo hasa wanajukwaa tunapata mashaka na IQ yako. Jenga "constructive criticisms" zilizoshiba "facts & factual statements" angalau uweze kulinda hadhi yako hapa jukwaani.

Kampeni bado hazijazinduliwa, kwa hiyo watia nia bado wanafuata matakwa ya kikatiba na kisheria ili wapate wadhamini husika. Yote yanayozumgumzwa sasa na watia nia hawa ni kama "salesman mere puff" ili kujiandaa kuingia ktk mpambano wa kushindanisha hoja za nguvu ifikapo wakati wa kampeni rasmi za uchaguzi.
 
Acha kubweka jenga hoja
[SUP]Wakudadavua[/SUP]
[SUP]kama Lissu ana hadhi ya ubunge na magu naye yupo kwenye level hiyohiyo kwa mtazamo wako! Basi ni sawa na kutuambia hakuna mgombea wa nafasi ya urais! Fikiri Tena kabla hujatuandikia propaganda mfu hizi![/SUP]
 
Maigizo, kamanda fungua macho.
Mkuu Wakudadavua, kama hana hadhi hiyo kwa nini alikabidhiwa fomu za kugombea nafasi hiyo? Cheo cha uraisi ama Rais ni mtu wa kikatiba, kwa kuwa sifa zake na mchakato wa kumpata unaainishwa kupitia matakwa ya kikatiba.

With due respect to you, sasa unapokuja jukwaa hapa na kutoa hoja zisizokuwa na mashiko, ndipo hasa wanajukwaa tunapata mashaka na IQ yako. Jenga "constructive criticisms" zilizoshiba "facts & factual statements" angalau uweze kulinda hadhi yako hapa jukwaani.

Kampeni bado hazijazinduliwa, kwa hiyo watia nia bado wanafuata matakwa ya kikatiba na kisheria ili wapate wadhamini husika. Yote yanayozumgumzwa sasa na watia nia hawa ni kama "salesman mere puff" ili kujiandaa kuingia ktk mpambano wa kushindanisha hoja za nguvu ifikapo wakati wa kampeni rasmi za uchaguzi.
 
Acha kubweka jenga hoja
Hoja gani ujengewe? Umeleta hoja mfu na wenye weledi wamekujibu na kuonyesha usivyojua kuwa magu na Lissu wote wapo level moja kwa nafasi wanazogombea! Inakuwaje unamuunderate Lissu na kumuacha magu na membe na wengineo? Mbwekaji ni wewe usiyejua unabweka ili iweje! Au Lissu kakunyima buku Saba! Utahangaika Sana lakini hutashinda!
 
Naona mnatumia nguvu nyingi kumu-undermine Lissu... Actually ni kiboko ya wapumbavu wote wasiojielewa. Tena kwann kila mda jina LA Lissu halikauki midomoni mwenu, mjue Lissu ana impact.

2020 twendeni na Lissu
 
Ili lissu awe maarufu anamuhitaji sana Magufuli. Bila kumuongelea Magu, Lissu ni mwanasheria tu kama kina Anna Henga
 
Naona mnatumia nguvu nyingi kumu-undermine Lissu... Actually ni kiboko ya wapumbavu wote wasiojielewa. Tena kwann kila mda jina LA Lissu halikauki midomoni mwenu, mjue Lissu ana impact.

2020 twendeni na Lissu
Wananchi hatupo tayari kwenda na Lissu kufanya biashara za kishoga..nyie endeleeni na biashara yenu mnayoiweza waacheni wanaume wachape kazi
 
Pili maisha bora ya watanzania hayapo kwenye kula tu..na hakuna mtanzania aliyelalamika njaa. Mahitaji ya watanzania ni umeme, huduma za maji, huduma za afya na miundombinu. Ukiwaboreshea hapo tayari umerahisisha njia za utafutaji riziki.
Naanza kutia shaka kama kweli wewe ni Mtanzania. Kwani kwenu wapi hasa?
 
Utakuwa umezaliwa mwaka 2000,hujui kitu
mwaka 2015 hata JPM naye alianzia ground zero. alikuwa ni mbunge tu.

isitoshe katika kupigania mali asili za nchi hii, Lissu alianza tangu 1990s huko wakati JPM kaanza hapa juzi tu 2016.
kwa kigezo hiki pekee lakini muhimu sana, Lissu ni mzoefu kumzidi mpinzani wake kwa zaidi ya miaka 20!
 
Kamanda tulia,jenga hoja acha kubwabwaja
Hoja gani ujengewe? Umeleta hoja mfu na wenye weledi wamekujibu na kuonyesha usivyojua kuwa magu na Lissu wote wapo level moja kwa nafasi wanazogombea! Inakuwaje unamuunderate Lissu na kumuacha magu na membe na wengineo? Mbwekaji ni wewe usiyejua unabweka ili iweje! Au Lissu kakunyima buku Saba! Utahangaika Sana lakini hutashinda!
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.
Yani nilipo soma kichwa cha uzi huu direct nimeingia na kutupia like kwa haraka. safi sana Tusimfananishe Raisi Magufuli na mambo ya ajabu wapinzani wakae na kutulia wajipange na hoja za mana na zinazo weza kutusogeza mbele kama taifa moja na si kuleta kelele zisizo za mana.
 
Back
Top Bottom